Wizara ya afya na ustawi wa jamii!

Wizara ya afya na ustawi wa jamii!

Wana jf kuna dogo anauliza kwamba yeye kapata phy-c,bios-c,chem-c,math-d,na english-f, je anaweza kupata diploma?
 
Wana jf kuna dogo anauliza kwamba yeye kapata phy-c,bios-c,chem-c,math-d,na english-f, je anaweza kupata diploma?

Tamaa ipo sana mbona, masomo yanayomatter zaid ni bio, chen na phy, ayo math na eng yanaongeza advantage tu.
Lkn omba Mungu mana wizara haitabiriki, lkn mm bio nina D, yalobak yote C, nasubir majibu
 
2lieni ijumaa hii kila kitu nje,source mdau mwema wizarani.
 
Labda! Kwa maana somo hilo la English linatazamiwa sana katika hz college.
 
Akikosa lazima tuandamane kwa waziri wa afya maake lengo la wizara ni kwa aliyefaulu vizuri masomo ya sayansi
 
Akikosa lazima tuandamane kwa waziri wa afya maake lengo la wizara ni kwa aliyefaulu vizuri masomo ya sayansi
 
Nafkir ni matatizo ya kiengereza kidogo. Inaposemwa kwamba mtu kawa certified maana yake kapata certificate, kwaiyo certified copy ni copy tu ya cheti.
Hata mimi sikuona sehem iliyoandikwa lzm viwe na muhur, lkn aloniletea form alinambia nipeleke mahakaman kwa muhur

kwa hyo kama vyeti havijagongwa muhuri huwez chaguliwa?
 
Back
Top Bottom