Wizara ya Afya NA watumishi BYE.

KISUNZU

Member
Joined
Sep 12, 2013
Posts
43
Reaction score
5
Kwa ghafla sana na pasipo maandalizi wizara ya afya imebadilisha kiasi cha ada ambapo kwa ngazi ya cheti tu ada kwa mwenye bima ya afya ni 880,000 kwa asiye na bima ni 930,000 watoto wa wakulima tutasoma kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…