K KISUNZU Member Joined Sep 12, 2013 Posts 43 Reaction score 5 Nov 7, 2013 #1 Kwa ghafla sana na pasipo maandalizi wizara ya afya imebadilisha kiasi cha ada ambapo kwa ngazi ya cheti tu ada kwa mwenye bima ya afya ni 880,000 kwa asiye na bima ni 930,000 watoto wa wakulima tutasoma kweli?
Kwa ghafla sana na pasipo maandalizi wizara ya afya imebadilisha kiasi cha ada ambapo kwa ngazi ya cheti tu ada kwa mwenye bima ya afya ni 880,000 kwa asiye na bima ni 930,000 watoto wa wakulima tutasoma kweli?
kifumbiko JF-Expert Member Joined Oct 29, 2012 Posts 213 Reaction score 44 Nov 8, 2013 #2 Majanga mbona majanga.