Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
Hivi kwa nini kuna watu wanasema wanatoa sumu mwilini, kuna watu wanasema wana vipimo vya magonjwa 29, kuna watu wanasema wanatibu vidonda vya tumbo, kansa, sukari, HIV n.k.
Hawa watu hawajajificha na wengine sasa hivi wanajiita ma professor eti kwa kudanganya watu na wamefungua vituo vyao, kama huyu askofu Gamanywa n.k. Tuelezeni watanzania kama wanachosema ni kweli otherwise muwa-stop, hawa watu wanatajirikia kwenye migongo yetu sisi maskini ambao tumeshidwa kupata majibu ya magonjwa yetu na wazazi wetu wanaoumwa.
Binafsi inaniuma sana, maana unaenda hospital hizi unaona kabisa wanakudangaya ila kama umempeleka mzazi inabidi uvumilie tu maana ukionekana kukosa imani mgonjwa ndo umemuua kabisa.
Kazi kwenu bwana.
Hawa watu hawajajificha na wengine sasa hivi wanajiita ma professor eti kwa kudanganya watu na wamefungua vituo vyao, kama huyu askofu Gamanywa n.k. Tuelezeni watanzania kama wanachosema ni kweli otherwise muwa-stop, hawa watu wanatajirikia kwenye migongo yetu sisi maskini ambao tumeshidwa kupata majibu ya magonjwa yetu na wazazi wetu wanaoumwa.
Binafsi inaniuma sana, maana unaenda hospital hizi unaona kabisa wanakudangaya ila kama umempeleka mzazi inabidi uvumilie tu maana ukionekana kukosa imani mgonjwa ndo umemuua kabisa.
Kazi kwenu bwana.