Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Punguza uchawi, sisi....Wakuu kwa wenye uzoefu, je ni sahihi DMO kua Nurse mwenye Diploma (RN)?, uku wilaya ya Nkasi tuna sitofaham hyo kwa sasa. DMO kaenda kusoma aliemkaimisha nafasi ni RN na wilaya ina watu wenye sifa za kushika hyo nafasi.
1. PMU wetu ana diploma na anaowaongoza wana bachelor
2. Afisa biashara ana degree na anaowaongoza wana Masters
3. DT ana bachelor bila CPA ila anaowaongoza wana CPA.
Punguza UCHAWI.
#YNWA