4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Wakuu jf kila mmoja kwa imani yake namsalimia.
Leo niko na Wizara ya Afya kama nguzo ya kusimamia taasisi zilizo chini yake mfano chama cha Madactari (MCT).
Kwa nini ichi chama kimekua na ukiritimba wa kipumbavu kwa vijana wetu, ambao serikali wengine imewagharamikia, na wengine ndugu/ wazazi wamepambana kulipa mapesa mengi ili vijana wao/ ndugu zao watimize ndoto zao walizozitaka?
Wizara ya afya ni serikali, na ijulikane sio product zote zinazalishwa ipo na uwezo wa kuziajiri. Kama ndivyo kumbe wengine wataajirika na wengine kujiajiri na vyoyote vile serikali itapa kodi.
Kwa mantiki hii hiki chama kupitia wizara husika kigugumizi kinatoka wapi kuwapatia leseni bure ili hali hizo leseni hulipia kila mwaka wachukuapo kila mwaka? Huu ni upumbavu mkubwa.
Leo zipo mada nyingi zikimzungumzia Dkt. Janabi why awe na jina kubwa ilihali hakupitia ujinga/ukiritimba wa namna hii?
Serikali imedhamini vijana wengi tu kupitia bodi ya mikopo hizo pesa zinarudishwaje kama hizi product walizo zilipia mapesa mengi zimefungwa mikono?
Mbunge Kishimba amewahi toa hoja bungeni kwamba kama Masai anaweza tembeza na kuuza dawa mbalimbali na wala hapati shida toka kwa mamlaka, inakuaje kijana ambae amekaa darasani miaka 5, intern miaka 1, jumla miaka sita ashindwe hata kutoa huduma kwa jamii inayo mzunguka? Wabunge nafikiri hawakumuelewa vizuri!
Waziri wa afya unayo nafasi, Rais unayo nafasi ya kuweka hili jambo sawa, yaani serikali inafanya jitihada kwamba vijana watimize ndoto zao na mwisho wa siku inawanyongelea mbali wale ambao imewahudumia kama sio kutengeneza chuki kwa serikali pitia hivi vyama uchwara nini?
J. Mhagama (MP na waziri) chukua hili na lifanyie kazi sina shaka na wewe.
Thanks, by 4 7mbatizaji
Leo niko na Wizara ya Afya kama nguzo ya kusimamia taasisi zilizo chini yake mfano chama cha Madactari (MCT).
Kwa nini ichi chama kimekua na ukiritimba wa kipumbavu kwa vijana wetu, ambao serikali wengine imewagharamikia, na wengine ndugu/ wazazi wamepambana kulipa mapesa mengi ili vijana wao/ ndugu zao watimize ndoto zao walizozitaka?
Wizara ya afya ni serikali, na ijulikane sio product zote zinazalishwa ipo na uwezo wa kuziajiri. Kama ndivyo kumbe wengine wataajirika na wengine kujiajiri na vyoyote vile serikali itapa kodi.
Kwa mantiki hii hiki chama kupitia wizara husika kigugumizi kinatoka wapi kuwapatia leseni bure ili hali hizo leseni hulipia kila mwaka wachukuapo kila mwaka? Huu ni upumbavu mkubwa.
Leo zipo mada nyingi zikimzungumzia Dkt. Janabi why awe na jina kubwa ilihali hakupitia ujinga/ukiritimba wa namna hii?
Serikali imedhamini vijana wengi tu kupitia bodi ya mikopo hizo pesa zinarudishwaje kama hizi product walizo zilipia mapesa mengi zimefungwa mikono?
Mbunge Kishimba amewahi toa hoja bungeni kwamba kama Masai anaweza tembeza na kuuza dawa mbalimbali na wala hapati shida toka kwa mamlaka, inakuaje kijana ambae amekaa darasani miaka 5, intern miaka 1, jumla miaka sita ashindwe hata kutoa huduma kwa jamii inayo mzunguka? Wabunge nafikiri hawakumuelewa vizuri!
Waziri wa afya unayo nafasi, Rais unayo nafasi ya kuweka hili jambo sawa, yaani serikali inafanya jitihada kwamba vijana watimize ndoto zao na mwisho wa siku inawanyongelea mbali wale ambao imewahudumia kama sio kutengeneza chuki kwa serikali pitia hivi vyama uchwara nini?
J. Mhagama (MP na waziri) chukua hili na lifanyie kazi sina shaka na wewe.
Thanks, by 4 7mbatizaji