Mpira wa kona
JF-Expert Member
- Nov 25, 2016
- 350
- 338
Hakika idadi ya Walemavu inazidi kuongezeka pale Feri upande wa Magogoni.Walemavu hao wamejaa milangoni Na ndani ya Lounge utawakuta wamelala kutokana Na ulemavu wao.In vema Wizara husika ya Afya kitengo cha ustawi wa jamii kikawatembelea walemavu hao Na kuwaondoa Na kuwapeleka kwenye vituo vyake ili kuweze kuwahudumia.
Pia kuwa Tabia ya baadhi ya walemavu wasioona kutumia watoto wadogo kuwatembeza kuomba msaada wakati hao watoto wangepaswa kuwa shuleni.
Kwa kuwa Serikali hii imepanga kuwasaidia wanyonge wa nchi hii ni vema ikawasaidia hao walemavu kuliko kuwaacha wanazagaa pale Feri.
Pia kuwa Tabia ya baadhi ya walemavu wasioona kutumia watoto wadogo kuwatembeza kuomba msaada wakati hao watoto wangepaswa kuwa shuleni.
Kwa kuwa Serikali hii imepanga kuwasaidia wanyonge wa nchi hii ni vema ikawasaidia hao walemavu kuliko kuwaacha wanazagaa pale Feri.