Asante kanisa katoriki tokea ule waraka mlioutoa baada ya kufa Kwa maaskofu.wengine wameona aina jinsi sasa wameamua kusema kweli. Na katika ukweli huu tulioukiri ndipo MUNGU ataanzia KUTUPONYA. Maana angeponya nini na tulikuwa tunakiri hatuna covid 19 kwenye taifa letu?