Natamani aende kwenye Misa inayoendeshwa na Mhashama Askofu Mkuu Yuda Thadeus Ruwa'ich halafu wapende hizo Barakoa! Mzee huyu hana busara kichwani kabisa!!Hii vita ya kuvaa/kutovaa barakoa Magu angeicha tu. “Kuwaponda” watu hadharani tena mbele ya altare sio sawa kabisa.
Kama yeye havai kwa kuwa ana shida ya kupumua vizuri, asiwadiscourage wanaovaa. Ukiwa Rais wa Nchi unapaswa kuchunga ulimi wako
Mkifunga shule hku majumbani watoto mtawafungia au watakuwa wanazurulaFungeni shule mtaua walimu wote na wanetu
Wizara ya afya au utopolo.Wizara ya Afya yawashukuru Watanzania wote kwa kutekeleza agizo la Rais Dk. Magufuli la maombi ya siku tatu kuliombea taifa dhidi ya janga la corona, na imewasisitizia Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari ya magonjwa mbalimbali yakiwemo ya mlipuko.
View attachment 1708120
View attachment 1708119
Mimi niseme tu kwa hili sijamuelewa Mhe.Rais sasa anatuhimiza tuchukue tahadhari au tumuachie Mungu mbona anawasema tena waliovaa barakoa.
Naibu akiwa kwenye poziWizara ya afya au utopolo.