DSM pekee ina wakazi wa moja kwa moja wasiopungua 4m.
TZ ina watu takribani 60m. Tumenunua dozi 10m kwa 1.3t, sijui kama kuna riba!
Uingereza wamesema "Tu heli" na hiyo rona.
Dizaini kama vituo fulani vya habari wamevuta mpunga stahiki kuitangaza rona, ila muamko hamna, madhara hamna kitaa!
Ni bora watutangazie TOZO zetu zimeshafikia ngapi mpaka leo, maana walitangaza mara moja tu, JoNdu akabinafsishwa, na pia nasikia RISITI zinatakiwa tena, sijui falsafa ya kutotumia nguvu kazi kwenye kudai kodi imeishia wapi!