Wizara ya Ajira ina mipango gani bunifu kutatua tatizo la ajira nchini?

Wizara ya Ajira ina mipango gani bunifu kutatua tatizo la ajira nchini?

Unko T

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
200
Reaction score
266
Wa-Salaaam!
Katika hizi siku kadhaa nimeona matangazo ya Halmashauri mbali mbali zinatafuta vijana kufanya shughuli ya anwani za makazi na postikodi. Kwa kweli muitikio ulikua ni mkubwa sana, kwa macho yangu nimeshuhudia sio chini ya bahasha 5000 - 6000 kwa kazi wanayohitajika vijana 250 wenye umri wa miaka 18-35. Nikawa najiuliza hawa ni vijana walioliona au kusikia tangazo ndani ya siku mbili tatu, kwa maana Kuna wale ambao hawakuliona na wale wenye miaka 36 kuendelea na kuna wale wasiokua na elimu ya kidato cha nne kuendelea (ambao ndio wengi zaidi)

Serikali ya Rais Samia Suluhu kupitia Wizara mpya ya Ajira, je wana mikakati ipi ya ki-ubunifu kutatua tatizo la ajira, kwa hali iliyopo ni kubwa na ni bomu linalohesabu dakika.

Kuna kitu sikubaliani nacho, kwamba vijana wa kitanzania hawapendi kufanya kazi au wanasubiri Ajira na Serikali haina ajira za kuwapa. Huu ni mtazamo hasi unao onesha kuwa serikali inataka kukimbia jukumu muhimu la kuboresha maisha ya mtanzania. Vijana wanaweza na wana shauku kubwa ya kufanya kazi na wana elimu na ujuzi lakini kazi hakuna.

Kuna ule mpango wa mikopo ya halmashauri kwa vijana na wanawake. Ule mpango sio suluhu ya kujiajiri. Mikopo imejaa siasa na kujuana na wengine hupiga dili humo humo. Mikopo inahitaji watu wawepo kwenye vikundi, je vikundi ndio mustakabali wa kuanzisha start up companies? Mikopo hii imekaa kuzalisha mama lishe na machinga na sio wajasiriamali wenye ndoto kubwa za kutengeneza biashara za kuajiri mamilioni ya watanzania hapo baadae. Kama tuna taasisi ya kukopesha wanafunzi wa elimu ya juu, kwanini tusi unde taasisi ya kukopesha vijana wenye maono na malengo ya kuanzisha “biashara serious”?

Ni muda wizara ya ajira kutueleza mpango mkakati iliyonayo katika suala hili, kwa hali ilivyosasa ni kama wizara hii haipo kwa kuwa shughuli na mipango yake haionekani kulinganisha na wizara kama ya afya, utamaduni na michezo, nishati n.k.

Huu ni mtazamo na maoni yangu.

Shukrani.
 
Wa-Salaaam!
Katika hizi siku kadhaa nimeona matangazo ya Halmashauri mbali mbali zinatafuta vijana kufanya shughuli ya anwani za makazi na postikodi. Kwa kweli muitikio ulikua ni mkubwa sana, kwa macho yangu nimeshuhudia sio chini ya bahasha 5000 - 6000 kwa kazi wanayohitajika vijana 250 wenye umri wa miaka 18-35. Nikawa najiuliza hawa ni vijana walioliona au kusikia tangazo ndani ya siku mbili tatu, kwa maana Kuna wale ambao hawakuliona na wale wenye miaka 36 kuendelea na kuna wale wasiokua na elimu ya kidato cha nne kuendelea (ambao ndio wengi zaidi)

Serikali ya Rais Samia Suluhu kupitia Wizara mpya ya Ajira, je wana mikakati ipi ya ki-ubunifu kutatua tatizo la ajira, kwa hali iliyopo ni kubwa na ni bomu linalohesabu dakika.

Kuna kitu sikubaliani nacho, kwamba vijana wa kitanzania hawapendi kufanya kazi au wanasubiri Ajira na Serikali haina ajira za kuwapa. Huu ni mtazamo hasi unao onesha kuwa serikali inataka kukimbia jukumu muhimu la kuboresha maisha ya mtanzania. Vijana wanaweza na wana shauku kubwa ya kufanya kazi na wana elimu na ujuzi lakini kazi hakuna.

Kuna ule mpango wa mikopo ya halmashauri kwa vijana na wanawake. Ule mpango sio suluhu ya kujiajiri. Mikopo imejaa siasa na kujuana na wengine hupiga dili humo humo. Mikopo inahitaji watu wawepo kwenye vikundi, je vikundi ndio mustakabali wa kuanzisha start up companies? Mikopo hii imekaa kuzalisha mama lishe na machinga na sio wajasiriamali wenye ndoto kubwa za kutengeneza biashara za kuajiri mamilioni ya watanzania hapo baadae. Kama tuna taasisi ya kukopesha wanafunzi wa elimu ya juu, kwanini tusi unde taasisi ya kukopesha vijana wenye maono na malengo ya kuanzisha “biashara serious”?

Ni muda wizara ya ajira kutueleza mpango mkakati iliyonayo katika suala hili, kwa hali ilivyosasa ni kama wizara hii haipo kwa kuwa shughuli na mipango yake haionekani kulinganisha na wizara kama ya afya, utamaduni na michezo, nishati n.k.

Huu ni mtazamo na maoni yangu.

Shukrani.
Hivi kuna ulazima wowote wa kuwa na wizara ya ajira ?
 
Wa-Salaaam!
Katika hizi siku kadhaa nimeona matangazo ya Halmashauri mbali mbali zinatafuta vijana kufanya shughuli ya anwani za makazi na postikodi. Kwa kweli muitikio ulikua ni mkubwa sana, kwa macho yangu nimeshuhudia sio chini ya bahasha 5000 - 6000 kwa kazi wanayohitajika vijana 250 wenye umri wa miaka 18-35. Nikawa najiuliza hawa ni vijana walioliona au kusikia tangazo ndani ya siku mbili tatu, kwa maana Kuna wale ambao hawakuliona na wale wenye miaka 36 kuendelea na kuna wale wasiokua na elimu ya kidato cha nne kuendelea (ambao ndio wengi zaidi)

Serikali ya Rais Samia Suluhu kupitia Wizara mpya ya Ajira, je wana mikakati ipi ya ki-ubunifu kutatua tatizo la ajira, kwa hali iliyopo ni kubwa na ni bomu linalohesabu dakika.

Kuna kitu sikubaliani nacho, kwamba vijana wa kitanzania hawapendi kufanya kazi au wanasubiri Ajira na Serikali haina ajira za kuwapa. Huu ni mtazamo hasi unao onesha kuwa serikali inataka kukimbia jukumu muhimu la kuboresha maisha ya mtanzania. Vijana wanaweza na wana shauku kubwa ya kufanya kazi na wana elimu na ujuzi lakini kazi hakuna.

Kuna ule mpango wa mikopo ya halmashauri kwa vijana na wanawake. Ule mpango sio suluhu ya kujiajiri. Mikopo imejaa siasa na kujuana na wengine hupiga dili humo humo. Mikopo inahitaji watu wawepo kwenye vikundi, je vikundi ndio mustakabali wa kuanzisha start up companies? Mikopo hii imekaa kuzalisha mama lishe na machinga na sio wajasiriamali wenye ndoto kubwa za kutengeneza biashara za kuajiri mamilioni ya watanzania hapo baadae. Kama tuna taasisi ya kukopesha wanafunzi wa elimu ya juu, kwanini tusi unde taasisi ya kukopesha vijana wenye maono na malengo ya kuanzisha “biashara serious”?

Ni muda wizara ya ajira kutueleza mpango mkakati iliyonayo katika suala hili, kwa hali ilivyosasa ni kama wizara hii haipo kwa kuwa shughuli na mipango yake haionekani kulinganisha na wizara kama ya afya, utamaduni na michezo, nishati n.k.

Huu ni mtazamo na maoni yangu.

Shukrani.
Watoto wao wako kwenye maofisi ya ubalozi na wengine ATCL, TPDC na TRA wala hawana habari na huyo wanayemwita mnyonge.
 
Waliopo kwenye game wanaona rahisi ila mtu umalize chuo miaka 23 uanze kujiajiri umechelewa sana kutokana biashara hazisimami ghafla

Waangalie namna
Wenyewe waanafanya kaI ngazi kubwa za ajira na ofsi lakini ukiwatishia tu ajira zao wanaondoka na jugula yako
 
Leo tarehe 20/02/2022

Ajira portal inasomeka hivi
Screenshot_20220220-141614.png
 
Mtaendelea kulalamika kama hamjiongezi..tatizo la ajira lipo kwa manufaa ya wanasiasa hawatoruhusu liishe...watapatia wapi credit kwenye kuomba kura.

Pambaneni kitaa msake pesa..mbona hela nyingi sana kitaa haizihitaji hata cheti.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mtaendelea kulalamika kama hamjiongezi..tatizo la ajira lipo kwa manufaa ya wanasiasa hawatoruhusu liishe...watapatia wapi credit kwenye kuomba kura.

Pambaneni kitaa msake pesa..mbona hela nyingi sana kitaa haizihitaji hata cheti.

#MaendeleoHayanaChama
Mnaongea hivyo mkiwa maofisini, kwanini hamuachi kazi muje kujiari huku mtaani? We ni mkuu ndugu yangu.
 
Mnaongea hivyo mkiwa maofisini, kwanini hamuachi kazi muje kujiari huku mtaani? We ni mkuu ndugu yangu.
Life is a performance not a rehearsal..kaza mtoto wa kiume..kulia lia na kuilaumu serikali hakiwezi kukusaidia kitu utaishia depression na kujiua kama una roho ndogo.

Pambana life is not fair for a crying puppy.

Huu ndio ukweli mchungu ambao graduates wengi hawataki usikiliza.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wa-Salaaam!
Katika hizi siku kadhaa nimeona matangazo ya Halmashauri mbali mbali zinatafuta vijana kufanya shughuli ya anwani za makazi na postikodi. Kwa kweli muitikio ulikua ni mkubwa sana, kwa macho yangu nimeshuhudia sio chini ya bahasha 5000 - 6000 kwa kazi wanayohitajika vijana 250 wenye umri wa miaka 18-35. Nikawa najiuliza hawa ni vijana walioliona au kusikia tangazo ndani ya siku mbili tatu, kwa maana Kuna wale ambao hawakuliona na wale wenye miaka 36 kuendelea na kuna wale wasiokua na elimu ya kidato cha nne kuendelea (ambao ndio wengi zaidi)

Serikali ya Rais Samia Suluhu kupitia Wizara mpya ya Ajira, je wana mikakati ipi ya ki-ubunifu kutatua tatizo la ajira, kwa hali iliyopo ni kubwa na ni bomu linalohesabu dakika.

Kuna kitu sikubaliani nacho, kwamba vijana wa kitanzania hawapendi kufanya kazi au wanasubiri Ajira na Serikali haina ajira za kuwapa. Huu ni mtazamo hasi unao onesha kuwa serikali inataka kukimbia jukumu muhimu la kuboresha maisha ya mtanzania. Vijana wanaweza na wana shauku kubwa ya kufanya kazi na wana elimu na ujuzi lakini kazi hakuna.

Kuna ule mpango wa mikopo ya halmashauri kwa vijana na wanawake. Ule mpango sio suluhu ya kujiajiri. Mikopo imejaa siasa na kujuana na wengine hupiga dili humo humo. Mikopo inahitaji watu wawepo kwenye vikundi, je vikundi ndio mustakabali wa kuanzisha start up companies? Mikopo hii imekaa kuzalisha mama lishe na machinga na sio wajasiriamali wenye ndoto kubwa za kutengeneza biashara za kuajiri mamilioni ya watanzania hapo baadae. Kama tuna taasisi ya kukopesha wanafunzi wa elimu ya juu, kwanini tusi unde taasisi ya kukopesha vijana wenye maono na malengo ya kuanzisha “biashara serious”?

Ni muda wizara ya ajira kutueleza mpango mkakati iliyonayo katika suala hili, kwa hali ilivyosasa ni kama wizara hii haipo kwa kuwa shughuli na mipango yake haionekani kulinganisha na wizara kama ya afya, utamaduni na michezo, nishati n.k.

Huu ni mtazamo na maoni yangu.

Shukrani.
HAKUNA AJIRA VIONGOZI WANASISITIZA MJIAJIRI
 
Life is a performance not a rehearsal..kaza mtoto wa kiume..kulia lia na kuilaumu serikali hakiwezi kukusaidia kitu utaishia depression na kujiua kama una roho ndogo.

Pambana life is not fair for a crying puppy.

Huu ndio ukweli mchungu ambao graduates wengi hawataki usikiliza.

#MaendeleoHayanaChama
Motivational speaker [emoji1781] [emoji344]
 
Back
Top Bottom