Sioni jinsi unavyomuweka rais mbali na huu mkwamo...!
Nyumba ikikosa mwelekeo lawama zote kwa Mkuu wa kaya...!
Hii ni vita... Na ni wakati wa kupata presidential briefings za mara kwa mara kutoka kila wizara, sekta na kila idara!!
Badala ya kuongoza vita, yeye kajificha anashauri jinsi ya kupigana vita!! Na kila akiibuka anawapuuza wanaopigana tena fontline...!!!
Shame!!