Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia platform gani kuendesha vipindi vyako online?
Pia ukiacha hiyo na yake kama ataitaja, kuna Open Discussion Forums: The Home of Critical Thinkers!Ukiacha hiyo yake kama ataitaja, lakini kuna nyingine iitwayo www.shuledirect.co.tz
Mhhh siku hizi Mianzini Shule ya Msingi kimekua Chuo?Mimi ninaendesha kipindi kila siku Online na wanafunzi wangu karibu wote wanashiri vzr sn. Yaani hapa hata wakitakiwa kurudi vyuoni, mtihani ukiwa wiki moja baada ya kufungua wanapasua vzr. Nipo chuo flani, vijana walitakiwa wafanye mtihani mwezi mei
Sent using Jamii Forums mobile app
Karne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida?
Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia
Hii Wizara iamke usingizini
Kauli yako inaonesha hukai sana hapa tz au unaishi mjini na family yako mambo safiii! Kuna maelfu ya watu hawajawahi kununua redioKarne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida?
Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia
Hii Wizara iamke usingizini
Mi sijaelewa bado alichokusudia mleta uzi.Yaani umekusudia audio na video kwa ajili ya kufundisha wanafunzi mashuleni?
Namie ndio ilibidi niombe ufafanuzi mana nashangaa eti Wizara ya Elimu ndio ifundishe kupitia audio na video watoto wakiwa majumbani kipindi ichi. Basi na wakati wa kurudi mashuleni wapelekwe wizara ya elimu waendelee kusomeshwa tu, serikali itajenga mabanda wizarani ya madarasa. Maana hakuna umuhimu wa kuwepo shule kama hili ni kazi ya Wizara ya Elimu kusomesha wanafunzi majumbani.Mi sijaelewa bado alichokusudia mleta uzi.
Anza na ww mchango wako nn?Karne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida?
Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia
Hii Wizara iamke usingizini
Waache watoto wapumzike na wasubr pasaka!Karne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida?
Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia
Hii Wizara iamke usingizini
Wizara haimaanishi watu waliopo kwenye makao makuu ya wizara ya elimu pekee, wizara ya elimu ni kubwa kuliko hapo. Wizara inainclude taasisi nyingi ikiwemo vyuo vikuu vya serikali, VETA , taasisi ya elimu, NECTA n.k. Kabla ya kuhamishiwa TAMISEMI hata shule zote za serikali pia zilikuwa sehemu ya wizara ya elimu.Namie ndio ilibidi niombe ufafanuzi mana nashangaa eti Wizara ya Elimu ndio ifundishe kupitia audio na video watoto wakiwa majumbani kipindi ichi. Basi na wakati wa kurudi mashuleni wapelekwe wizara ya elimu waendelee kusomeshwa tu, serikali itajenga mabanda wizarani ya madarasa. Maana hakuna umuhimu wa kuwepo shule kama hili ni kazi ya Wizara ya Elimu kusomesha wanafunzi majumbani.
Nadhani walimu wanatakiwa kuamka na kulifanyia kazi hilo wazoKarne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida?
Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia
Hii Wizara iamke usingizini