P.Limdi Man
Member
- May 18, 2014
- 23
- 5
Aseeee form four tulieni punguzeni upesi
miezi mitatu tu mnalalamika watu wanakaa miezi 7
ila kwa sasa hatusubiri ajira ila tunasubiri kwenda form five kwa hyo ndo mana tunasikitika sana mana ni bora waka2pa post il hata kama kuhama iwe rahc
Sema tu una hamu ya shule....haya basi subiri