JamaaFlani
Member
- Apr 30, 2013
- 36
- 26
Jaman kama mshasahihisha mitihani na mkapanga matokeo na mnajua tarehe ya kuyatoa kwann msitujulishe na sisi kuwa mtayatoa tarehe fulani ili kila mtu akae akijua matokeo ytakuwepo tarehe fulani,
mbona kabla ya mitihani mnatoa ratiba?
mbona kabla ya mitihani mnatoa ratiba?