Wizara ya elimu kushusha qualification za kujiunga na kidato cha 5 mwaka 2013.

Wizara ya elimu kushusha qualification za kujiunga na kidato cha 5 mwaka 2013.

AdvocateFi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
11,492
Reaction score
5,047
Kwa wadau wa elimu.
Wakuu nimesikia hizi tetesi kuwa kutokana na ufinyu mdogo wa wanafunzi watakaojiunga kidato cha 5 mwaka 2013, Wizara ya elimu inatarajia kushusha sifa za watahiniwa watakaojiunga na kidato cha 5 na badala ya C tatu, watachukua wenye C mbili na D tatu ili kujaza nafasi za wazi ktk shule nchini hapa na hii imetokana baada ya kuonekana zoezi la kurudia mitihani kuelekea kushindwa.

Mods msinipige ban kwani mjumbe hauwawi.
 
Back
Top Bottom