AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Kwa wadau wa elimu.
Wakuu nimesikia hizi tetesi kuwa kutokana na ufinyu mdogo wa wanafunzi watakaojiunga kidato cha 5 mwaka 2013, Wizara ya elimu inatarajia kushusha sifa za watahiniwa watakaojiunga na kidato cha 5 na badala ya C tatu, watachukua wenye C mbili na D tatu ili kujaza nafasi za wazi ktk shule nchini hapa na hii imetokana baada ya kuonekana zoezi la kurudia mitihani kuelekea kushindwa.
Mods msinipige ban kwani mjumbe hauwawi.
Wakuu nimesikia hizi tetesi kuwa kutokana na ufinyu mdogo wa wanafunzi watakaojiunga kidato cha 5 mwaka 2013, Wizara ya elimu inatarajia kushusha sifa za watahiniwa watakaojiunga na kidato cha 5 na badala ya C tatu, watachukua wenye C mbili na D tatu ili kujaza nafasi za wazi ktk shule nchini hapa na hii imetokana baada ya kuonekana zoezi la kurudia mitihani kuelekea kushindwa.
Mods msinipige ban kwani mjumbe hauwawi.