Wizara ya elimu na ajira za walimu

Luccy Godwin

Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
20
Reaction score
0
Wahitimu wa shahada ambao wamesoma coz moja masomo yanayofanana wote chuo kimoja wote wamejaza form za kuomba ajira wizara ya elimu ajira zimetoka baadhi wameajiriwa wengine wanaachwa wanaenda kuuliza wizarani majibu yanakuwa wao hawastahili kufundisha secondari wakati hao baadhi wamepelekwa secondari hv wanajf inaingia akilini kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…