Tunapongeza sana maboresho yanayofanyika kwenye Elimu yetu haswa wakati huu wa serikali ya awamu ya Sita.
Mheshimiwa Rais tunaomba umwagize Waziri wa Elimu ahakikishe kuwa wanafumzi wa shule za msingi na haswa binafsi wanapata elimu inayoendana na hadhi na umri wa wanafunzi husika.
Tunayo mifano ya shule za binafsi ambazo wanafunzi wa darasa la saba wanaanza masomo kuanzia saa kumi na mbili asubui hadi saa tatu usiku kwa siku saba za wiki.
Mheshimiwa Rais tunaomba umwagize Waziri wa Elimu ahakikishe kuwa wanafumzi wa shule za msingi na haswa binafsi wanapata elimu inayoendana na hadhi na umri wa wanafunzi husika.
Tunayo mifano ya shule za binafsi ambazo wanafunzi wa darasa la saba wanaanza masomo kuanzia saa kumi na mbili asubui hadi saa tatu usiku kwa siku saba za wiki.