Hapo walikosea jamanKuna mtoto wangu nilienda kumtembelea dahh nilikatazwa kumuona elimu ya sshv duhh
Ilikuwa siku ya visiting day? Au uliamua kutimba tu mkuu? [emoji1][emoji1]Kuna mtoto wangu nilienda kumtembelea dahh nilikatazwa kumuona elimu ya sshv duhh
Acheni kuwapeleka huko. Shule kama mburahati na mbagala zipo. Saa nane na nusu mtoto anaruhusiwa kurudi nyumbaniKuna wanaoanza saa kumi Alfajiri hadi saa nne usiku
Akivuta bangi usishangae, saa 8 atamkuta nani nyumbaniAcheni kuwapeleka huko. Shule kama mburahati na mbagala zipo. Saa nane na nusu mtoto anaruhusiwa kurudi nyumbani
Sio saa kumi na mbili, Kuna shule moja sitaitaja iko mkoa x, dogo alisema mara nyingine wanaamshwa saa kumi na nusu na saa kumi na moja na nusu wawe darasaniTunapongeza sana maboresho yanayofanyika kwenye Elimu yetu haswa wakati huu wa serikali ya awamu ya Sita.Mheshimiwa Rais tunaomba umwagize Waziri wa Elimu ahakikishe kuwa wanafumzi wa shule za msingi na haswa binafsi wanapata elimu inayoendana na hadhi na umri wa wanafunzi husika.Tunayo mifano ya shule za binafsi ambazo wanafunzi wa darasa la saba wanaanza masomo kuanzia saa kumi na mbili asubui hadi saa tatu usiku kwa siku saba za wiki.
Yani mtu anikataze kumuona mtoto wangu? Labda kama nilisaini mkataba wa aina hiyo ila ningemtoa mtu sikio.Kuna mtoto wangu nilienda kumtembelea dahh nilikatazwa kumuona elimu ya sshv duhh
MamaAkivuta bangi usishangae, saa 8 atamkuta nani nyumbani
Haendi kaziniMama
Narudi saa 8Haendi kazini
Vidonge vya majira vinachangia sana watoto kuwa na hali hiyoKwanini watoto wa sasa hivi qanasoma masaa mengi zaidi darasani, huku maarifa yakiwa madogo zaidi kulinganisha na vizazi viwili nyuma yao?
Kuna tatizo kubwa sana kwenye mfumo wetu wa malezi watoto wanakosa lishe bora na michezo, watoto wetu akili zao nzito sana.
Kuna mtoto wangu nilienda kumtembelea dahh nilikatazwa kumuona elimu ya sshv duhh
Wapo wamejaa tele..muda huo washatoa mikeka nje wanaangalia wanaopita barabarani..au wako sebuleni wanaangalia Azam Tv zile tamthilia.Akivuta bangi usishangae, saa 8 atamkuta nani nyumbani
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo !Kwanini watoto wa sasa hivi wanasoma masaa mengi zaidi darasani, huku maarifa yakiwa madogo zaidi kulinganisha na vizazi viwili nyuma yao?
Kuna tatizo kubwa sana kwenye mfumo wetu wa malezi watoto wanakosa lishe bora na michezo, watoto wetu akili zao nzito sana.