Wizara ya elimu yaagiza shule zote za Dar Es Salaam kufungwa kwa siku 2 kupisha kongamano la nishati

Tanzania kila kitu ni shida tu.
 
Kuna shule ziko Kawe, Chanika, Msongora Kigamboni nk. Hali itakwaje. Na je wale walio boarding?
 
Tushaambiwa atakuwepo Rais wa Taasisi ya Rockefeller sasa hapo bado mnashangaa kitu gani?
Acha kazi sizimame,wenye kazi zao wapo mjini..tukae kwa kutulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…