Erick tryphone
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 387
- 84
Mwaka huu ni majanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna majanga mbona poa tu...Mwaka huu ni majanga
elimu yetu inapitia wakati mgumu sana..mwaka huu ni majanga
hamna hiyo sio kweli, kwa mm nnavyojua kitaifa wanafunzi wanaokwenda form V ktk shule za serikali hawatakiwi kuzidi 40,000. kwahiyo so rahis
wanafanya hivi ili tuje tuongozwe na mitoto yao inayosoma huko nje!Wizara ya elimu kwa sasa inao mpango wa kushusha alama za kufaulu kwa wananafunzi wanaomaliza kidato cha nne. Naibu waziri wa elimu Philipo Mulugo alisema kuwa wizara inaangalia utaratibu mpya wa kushusha alama, credit za kufaulu kutoka C tatu hadi D. Mulugo alidai kuwa ni vema mwanafunzi atakayemalza form iv akapata C mbili na D moja au D tatu waruhusiwe kujiunga kidato cha tano. Mimi binafsi hili jambo limenishangaza sana! hivi kweli elimu yeti watanzania tunataka kuipeleka wapi? Tukiruhusu haya baadae taifa letu litakuwa na wasomi wa aina gani? nimeamin kweli siasa ni mchezo mbaya..mmh yangu macho hii ndio Tziii bwana.
hili halikubaliki hata kidogo kwani tutatengeneza taifa la watu wajinga.tujaribu kulinganisha elimu ya sasa na ya zaman. siku hizi wototo hawataki kusoma kwan facebook,mapenzi,simu,malezi mabovu,na kulegalega kwa mtaala wa elimu kumechangia kushuka kwa ubora wa elimu.my suggestion is goverment must make a new reform emediately so that they can avoid jeopardize especially in curreculum,tearching material and others.also students discipline,self study,assesment,grad and stick should be compulsory like privious day.
ukiona m2 anapost vitu kama ivo ujue amefeli au ana hzo C mbili so anatafutia confidence huku!!....toka huku nenda fb kawaeleze ujinga huu