Hii wizara inanipa mashaka sana toka nimekua nikapata na akili wamekuwa na mambo ya ajabuajabu sana na vitimbi kama si vibweka,vitu vingi walivyoamua wamekuwa hawawezi ku-foresee the future pia havikuwa na impact kwa walengwa zaidi ya kuwaletea maumivu na kuwachanganya wahusika,sijui tungoje matokeo tuone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.