Wizara ya katiba na sheria imejizindulia utaratibu wa kula pesa za walipa kodi kwa kampeni ya elimu ya katiba mpya 2024/2026; waanza kuandaa mikutano

Wizara ya katiba na sheria imejizindulia utaratibu wa kula pesa za walipa kodi kwa kampeni ya elimu ya katiba mpya 2024/2026; waanza kuandaa mikutano

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Hii nchi kila kitu ni drama; waziri wa katiba na sheria na watumishi wa ofisi yake tayari wameandaa kinachoitwa kampeni ya elimu ya katiba mpya na bajeti yake inalengwa kwa mwaka wa kwanza kutumia si chini ya bilioni tisa.

Watumishi wote wa ofisi yake wameshajiwekea ratiba hakuzunguka nchi nzima kwa miaka miwili kama siyo mitatu. Malipo waliyojiwekea ni kila mtumishi kulipwa 220,000 kila siku kwa kipindi chote cha kampeni

Makundi mbalimbali wataitwa kujustfy elimu hiyo vikiwemo vyama vya siasa na taasisi za kiraia.

Swali langu ; haya mambo yanajadiliwaga wapi na kupitishwa? Hii mikakati ya kutumia fedha za umma kipindi hiki ambacho kuna mdororo wa kiuchumi inawekwa na nani? Kwanini hatuoni kwamba wapo watanzania wasiopata japo mlo mmoja kwa siku?

Hizi kampeni wamexipa miaka mitatu kwa kuanzia katiba gani kampeni inafanyika miaka mitatu? Wanaotoa elimu ni wanasheria na watumishi wa umma ambao hata katiba iliyopo hawana uelewa nayo......

Tunakwenda wapi watanzania? Kwanini tusirudi mezani kujadiliana haya mambo na kuja na uelewa wa pamoja badala ya watumishi wa umma kujimegea fedha za umma ; let assume viongozi wote wa wizara na watumishi wanajilipa kwenda kwenye kampeni kazi ofisini anafanya nani?
 
Hii nchi kila kitu ni drama; waziri wa katiba na sheria na watumishi wa ofisi yake tayari wameandaa kinachoitwa kampeni ya elimu ya katiba mpya na bajeti yake inalengwa kwa mwaka wa kwanza kutumia si chini ya bilioni tisa.

Watumishi wote wa ofisi yake wameshajiwekea ratiba hakuzunguka nchi nzima kwa miaka miwili kama siyo mitatu. Malipo waliyojiwekea ni kila mtumishi kulipwa 220,000 kila siku kwa kipindi chote cha kampeni

Makundi mbalimbali wataitwa kujustfy elimu hiyo vikiwemo vyama vya siasa na taasisi za kiraia.

Swali langu ; haya mambo yanajadiliwaga wapi na kupitishwa? Hii mikakati ya kutumia fedha za umma kipindi hiki ambacho kuna mdororo wa kiuchumi inawekwa na nani? Kwanini hatuoni kwamba wapo watanzania wasiopata japo mlo mmoja kwa siku?

Hizi kampeni wamexipa miaka mitatu kwa kuanzia katiba gani kampeni inafanyika miaka mitatu? Wanaotoa elimu ni wanasheria na watumishi wa umma ambao hata katiba iliyopo hawana uelewa nayo......

Tunakwenda wapi watanzania? Kwanini tusirudi mezani kujadiliana haya mambo na kuja na uelewa wa pamoja badala ya watumishi wa umma kujimegea fedha za umma ; let assume viongozi wote wa wizara na watumishi wanajilipa kwenda kwenye kampeni kazi ofisini anafanya nani?
Hili ni jambo jema sana, tena mimi na kampuni yangu ya PPR, tutajitolea kuwasaidia kuandaa vipindi vya redio, TV na makala za magazetini kama kwenye gazeti la Nipashe la Leo, Watanzania waijue katiba.

Ila mimi na timu yangu hatutahitaji kulipwa posho zozote.

P
 
Hii nchi kila kitu ni drama; waziri wa katiba na sheria na watumishi wa ofisi yake tayari wameandaa kinachoitwa kampeni ya elimu ya katiba mpya na bajeti yake inalengwa kwa mwaka wa kwanza kutumia si chini ya bilioni tisa.

Watumishi wote wa ofisi yake wameshajiwekea ratiba hakuzunguka nchi nzima kwa miaka miwili kama siyo mitatu. Malipo waliyojiwekea ni kila mtumishi kulipwa 220,000 kila siku kwa kipindi chote cha kampeni

Makundi mbalimbali wataitwa kujustfy elimu hiyo vikiwemo vyama vya siasa na taasisi za kiraia.

Swali langu ; haya mambo yanajadiliwaga wapi na kupitishwa? Hii mikakati ya kutumia fedha za umma kipindi hiki ambacho kuna mdororo wa kiuchumi inawekwa na nani? Kwanini hatuoni kwamba wapo watanzania wasiopata japo mlo mmoja kwa siku?

Hizi kampeni wamexipa miaka mitatu kwa kuanzia katiba gani kampeni inafanyika miaka mitatu? Wanaotoa elimu ni wanasheria na watumishi wa umma ambao hata katiba iliyopo hawana uelewa nayo......

Tunakwenda wapi watanzania? Kwanini tusirudi mezani kujadiliana haya mambo na kuja na uelewa wa pamoja badala ya watumishi wa umma kujimegea fedha za umma ; let assume viongozi wote wa wizara na watumishi wanajilipa kwenda kwenye kampeni kazi ofisini anafanya nani?
Mama amebariki. Mama anaupiga mwingi.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
RASIMU ya WARIOBA irudi mezani, ni Ile Rasimu kabla haijaingia Bunge la Katiba,

Ifanyiwe maboresho kidogo, maoni mapya yaongezwe,

Hatimaye tupate Utaratibu Bora kuingia Bunge la Katiba.

NB. Bila Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, hapatafanyika uchaguzi wowote!!

Katiba mpya ni sasa.

Amen
 
Bunge la katiba ndo linahujumiwa au hii imekaa sawa kikatiba na sheria.
 
RASIMU ya WARIOBA irudi mezani, ni Ile Rasimu kabla haijaingia Bunge la Katiba,

Ifanyiwe maboresho kidogo, maoni mapya yaongezwe,

Hatimaye tupate Utaratibu Bora kuingia Bunge la Katiba.

NB. Bila Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, hapatafanyika uchaguzi wowote!!

Katiba mpya ni sasa.

Amen
Hapafanyiki uchaguzi wowote?
 
Wasioamini katika mtazamo huu sio wananchi?
HAKI ya kuchagua na kuchaguliwa ni HAKI ya msingi,

Kuheshimu Sanduku la kura ni jambo mtambuka, maana Utaratibu wa kuiba kura ukiendelea, wananchi watatafuta njia zingine kupata HAKI Yao ya kusikilizwa,

Mwananchi mlevi asiyetaka kufanya KAZI Kwa Mfano, anatakiwa kusaidiwa ajue umuhimu wa kufanya KAZI, hawezi kuheshimiwa Kwa maamuzi ya kulewa muda wa KAZI,

Bila Time huru ya Uchaguzi, bila Katiba mpya, hapatafanyika uchaguzi wowote 🙏

Nimekujibu naamini.
 
Hili ni jambo jema sana, tena mimi na kampuni yangu ya PPR, tutajitolea kuwasaidia kuandaa vipindi vya redio, TV na makala za magazetini kama kwenye gazeti la Nipashe la Leo, Watanzania waijue katiba.

Ila mimi na timu yangu hatutahitaji kulipwa posho zozote.

P
Njaa pro max
 
Usijiumize moyo, waliambiwa wale kwa urefu wa kamba zao. Hata ukilia na kujigaragaza kama haumo kwenye mnyororo zitakupita ukiziangalia tu. Cha kujiuliza ni katiba ipi inayotolewa elimu na kwa nini sasa?
 
Tumekufahamu mama, huu ni mkakati wako mahususi ili kuchelewesha kwa makusudi kabisa mchakato wa kupata Tume Huru ya Uchaguzi ama Katiba mpya ili 2024/2025 wagombea udiwani, wabunge na Rais kupitia Cham chako Cha CCM wapite bilakupingwa . Hilo haliwezekani , napinga kabisa mkakati huu ovu wa kuendelea kupoka demokrasi nchini.
 
Hili ni jambo jema sana, tena mimi na kampuni yangu ya PPR, tutajitolea kuwasaidia kuandaa vipindi vya redio, TV na makala za magazetini kama kwenye gazeti la Nipashe la Leo, Watanzania waijue katiba.

Ila mimi na timu yangu hatutahitaji kulipwa posho zozote.

P
Fursa

Biliion 9 ,ukatae kulipwa ikitokea ,kweli P
 
Back
Top Bottom