Wizara ya katiba na sheria imejizindulia utaratibu wa kula pesa za walipa kodi kwa kampeni ya elimu ya katiba mpya 2024/2026; waanza kuandaa mikutano

Wizara ya katiba na sheria imejizindulia utaratibu wa kula pesa za walipa kodi kwa kampeni ya elimu ya katiba mpya 2024/2026; waanza kuandaa mikutano

Hili ni jambo jema sana, tena mimi na kampuni yangu ya PPR, tutajitolea kuwasaidia kuandaa vipindi vya redio, TV na makala za magazetini kama kwenye gazeti la Nipashe la Leo, Watanzania waijue katiba.

Ila mimi na timu yangu hatutahitaji kulipwa posho zozote.

P
Kibaraka
Hii nchi kila kitu ni drama; waziri wa katiba na sheria na watumishi wa ofisi yake tayari wameandaa kinachoitwa kampeni ya elimu ya katiba mpya na bajeti yake inalengwa kwa mwaka wa kwanza kutumia si chini ya bilioni tisa.

Watumishi wote wa ofisi yake wameshajiwekea ratiba hakuzunguka nchi nzima kwa miaka miwili kama siyo mitatu. Malipo waliyojiwekea ni kila mtumishi kulipwa 220,000 kila siku kwa kipindi chote cha kampeni

Makundi mbalimbali wataitwa kujustfy elimu hiyo vikiwemo vyama vya siasa na taasisi za kiraia.

Swali langu ; haya mambo yanajadiliwaga wapi na kupitishwa? Hii mikakati ya kutumia fedha za umma kipindi hiki ambacho kuna mdororo wa kiuchumi inawekwa na nani? Kwanini hatuoni kwamba wapo watanzania wasiopata japo mlo mmoja kwa siku?

Hizi kampeni wamexipa miaka mitatu kwa kuanzia katiba gani kampeni inafanyika miaka mitatu? Wanaotoa elimu ni wanasheria na watumishi wa umma ambao hata katiba iliyopo hawana uelewa nayo......

Tunakwenda wapi watanzania? Kwanini tusirudi mezani kujadiliana haya mambo na kuja na uelewa wa pamoja badala ya watumishi wa umma kujimegea fedha za umma ; let assume viongozi wote wa wizara na watumishi wanajilipa kwenda kwenye kampeni kazi ofisini anafanya nani?
Nimeona hata clouds tv kwenye clouds 260 asbh hii wameshaanza hicho wanachokiita elimu kuhusu katiba kule Zanzibar. Hii nchi aliyetulaani sijui ni nani! Time ya Warioba walizunguka njia nzima kukusanya maoni ya wananchi. Na Kwa majibu Yale ya wananchi iliashiria kabisa katiba mpya inahitajika na wanaielewa katiba iliyopo na ndio maana walitoa maoni Yao. Zilitumika pesa nyingi kwa kazi Ile,Sasa wananchi tunashangaa Kwa hiki kinachoendelea. Utumislaji mbovu wa Kodi za wananchi na nia ovu ya kuchelewesha katiba mpya kupatikana. Wananchi tusikubali kabisa huu ujinga.
 
Hii nchi kila kitu ni drama; waziri wa katiba na sheria na watumishi wa ofisi yake tayari wameandaa kinachoitwa kampeni ya elimu ya katiba mpya na bajeti yake inalengwa kwa mwaka wa kwanza kutumia si chini ya bilioni tisa.

Watumishi wote wa ofisi yake wameshajiwekea ratiba hakuzunguka nchi nzima kwa miaka miwili kama siyo mitatu. Malipo waliyojiwekea ni kila mtumishi kulipwa 220,000 kila siku kwa kipindi chote cha kampeni

Makundi mbalimbali wataitwa kujustfy elimu hiyo vikiwemo vyama vya siasa na taasisi za kiraia.

Swali langu ; haya mambo yanajadiliwaga wapi na kupitishwa? Hii mikakati ya kutumia fedha za umma kipindi hiki ambacho kuna mdororo wa kiuchumi inawekwa na nani? Kwanini hatuoni kwamba wapo watanzania wasiopata japo mlo mmoja kwa siku?

Hizi kampeni wamexipa miaka mitatu kwa kuanzia katiba gani kampeni inafanyika miaka mitatu? Wanaotoa elimu ni wanasheria na watumishi wa umma ambao hata katiba iliyopo hawana uelewa nayo......

Tunakwenda wapi watanzania? Kwanini tusirudi mezani kujadiliana haya mambo na kuja na uelewa wa pamoja badala ya watumishi wa umma kujimegea fedha za umma ; let assume viongozi wote wa wizara na watumishi wanajilipa kwenda kwenye kampeni kazi ofisini anafanya nani?
Nchi ngumu hii. Watu wapo kula kwa urefu wa kamba walizojikadiria wenyewe. Uzuri walishaambiwa wale.
 
Hili ni jambo jema sana, tena mimi na kampuni yangu ya PPR, tutajitolea kuwasaidia kuandaa vipindi vya redio, TV na makala za magazetini kama kwenye gazeti la Nipashe la Leo, Watanzania waijue katiba.

Ila mimi na timu yangu hatutahitaji kulipwa posho zozote.

P
Kibaraka
Kwanza ni mawazo ya kipumbavu sn kutoea elimu kwa miaka 3, kwanini isiwe kwa miezi 2? kikosi kazi kilifanya kazi gani miezi 6 yote?
Wanatuona sisi wananchi ni wajinga hatuna akili. Hii ni dharau kubwa ni ipo siku yatafikia mwisho haya
 
Hii nchi kila kitu ni drama; waziri wa katiba na sheria na watumishi wa ofisi yake tayari wameandaa kinachoitwa kampeni ya elimu ya katiba mpya na bajeti yake inalengwa kwa mwaka wa kwanza kutumia si chini ya bilioni tisa.

Watumishi wote wa ofisi yake wameshajiwekea ratiba hakuzunguka nchi nzima kwa miaka miwili kama siyo mitatu. Malipo waliyojiwekea ni kila mtumishi kulipwa 220,000 kila siku kwa kipindi chote cha kampeni

Makundi mbalimbali wataitwa kujustfy elimu hiyo vikiwemo vyama vya siasa na taasisi za kiraia.

Swali langu ; haya mambo yanajadiliwaga wapi na kupitishwa? Hii mikakati ya kutumia fedha za umma kipindi hiki ambacho kuna mdororo wa kiuchumi inawekwa na nani? Kwanini hatuoni kwamba wapo watanzania wasiopata japo mlo mmoja kwa siku?

Hizi kampeni wamexipa miaka mitatu kwa kuanzia katiba gani kampeni inafanyika miaka mitatu? Wanaotoa elimu ni wanasheria na watumishi wa umma ambao hata katiba iliyopo hawana uelewa nayo......

Tunakwenda wapi watanzania? Kwanini tusirudi mezani kujadiliana haya mambo na kuja na uelewa wa pamoja badala ya watumishi wa umma kujimegea fedha za umma ; let assume viongozi wote wa wizara na watumishi wanajilipa kwenda kwenye kampeni kazi ofisini anafanya nani?
Unapata kihoro ukiwa wapi ewe mlala hoi? Huna taarifa Rais alituruhusu tule kwa urefu wa kamba zetu?
Ili uumie zaidi, per diem ni 1m, pesa ya mafuta ya gari tutavuta 20m, bado pesa ya matengenezo ya gari 20m. Hii mipesa yote hii ni kwa siku 20 tu. Na kwa mwaka huu wa pesa, tutaenda kula nchi mara 20. Piga hesabu wewe mwenyewe ujue nitavuta kiasi gani.

Nasema hiviii: Mwaka huu nisipojenga gorofa kila mkoa, niite nguchiro.
 
KIKWAZO CHA KATIBA MPYA YENYE MFUMO WA VYAMA VINGI NI CCM!

Katiba iliyopo ni ya mfumo wa chama kimoja ambacho ni CCM na ilitungwa na CCM mwaka 1977.

Tanzania hatuna mfumo wa vyama vingi, bali tuna mfumo wa chama kimoja (CCM), ambamo kuna vyama vingi ndani yake. Kwa ufupi tuna vyama vingi ndani ya mfumo wa chama kimoja - CCM!

Kamwe CCM hakiwezi kuleta katiba mpya yenye mfumo wa vyama vingi maana itakuwa ni kujimaliza chenyewe.

Katiba mpya ni mpaka CCM itoke madarakani kama Kenya walivyoiondoa kwanza KANU ndiposa ikaja katiba mpya. Kwanza tuondoe kikwazo ambacho ni CCM, ndiposa tutapata katiba mpya.

La sivyo tutaendelea na maigizo (seasons) ya katiba mpya bila kupata katiba mpya.

Tulikuwa na season ya "kamati" ya katiba mpya, ikaja "tume" ya mabadiliko ya katiba, mara kikaja "kikosi" kazi, na sasa umekuja Mkakati wa Taifa wa Elimu ya Katiba kwa Umma (MTEKU) hadi 2026.

Pasina kukiondoa CCM madarakani, seasons zitaendelea bila ya kupata katiba mpya. Tunapigwa danadana za freestyle football mpaka tunaona kizunguzungu!

Credit: Gwappo Mwakatobe
 
Hili ni jambo jema sana, tena mimi na kampuni yangu ya PPR, tutajitolea kuwasaidia kuandaa vipindi vya redio, TV na makala za magazetini kama kwenye gazeti la Nipashe la Leo, Watanzania waijue katiba.

Ila mimi na timu yangu hatutahitaji kulipwa posho zozote.

P
Hizo ni mbinu tu za kuchelewa mchakato mzima wa kupata katiba mpya kwa maslahi ya kundi fulani linalohodhi madaraka.
 
Back
Top Bottom