Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Tanzania ndio nchi pekee ambayo mtu anapata madaraka kwanza alafu mafunzo yanafuata baadae
===========================================================
Wizara ya Katiba na Sheria imetoa elimu ya utawala bora na masuala ya kisheria kwa viongozi wa serikali za mitaa na kamati za usalama, ili kuwawezesha kutoa huduma bora na za haki kwa wananchi, ikilenga kupunguza malalamiko ya wananchi na kuboresha ufanisi wa serikali katika utendaji kazi wake.
Tanzania ndio nchi pekee ambayo mtu anapata madaraka kwanza alafu mafunzo yanafuata baadae
===========================================================
Wizara ya Katiba na Sheria imetoa elimu ya utawala bora na masuala ya kisheria kwa viongozi wa serikali za mitaa na kamati za usalama, ili kuwawezesha kutoa huduma bora na za haki kwa wananchi, ikilenga kupunguza malalamiko ya wananchi na kuboresha ufanisi wa serikali katika utendaji kazi wake.