Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Sasa kujadiliwa upya bungeni, akiwasilisha bajeti ya Wizara ya kazi na ajila Bi Kabaka anesema kuwa kwa bunge ndilo lilipitisha sheria hiyo ndio hivyo hivyo litakazimika kuja kuifanyia marekebisho kwa hati ya dharura mwakani.