Wizara ya kazi yakubali hati ya Dharura ya sheria mpya ya Pension na kujitoa kazini

Wizara ya kazi yakubali hati ya Dharura ya sheria mpya ya Pension na kujitoa kazini

Pole, inawezekana alikuwa hafuatilii alikuwa likizo kijijini. Hata wabunge walipitisha bila kujua, ndo watz hao. You want to hide something for waTZ? simple, put it in the book. Ngoja nimpe kidogo coz beter late than never. Ndg watu washakomaa na hiyo kitu mpaka bungeni na sheria hiyo itapitiwa next sitting. Hebu google withdrawal benefits Tz nawe uwe current. eboo!
 
Dada Mwanaidi ulikua sayari gani huko pasipo kuwa na internet? Hii issue ina miezi miwili tunaidiscuss hapa JF,ilianza June 2012 kama Tetesi lakini July Mkurugenzi wa Shirikisho la Mifuko ya hifadhi ya Jamii(ssra) akakisanua kwamba hilo fao halipo,ila kwa kifupo wa-tz hatujakunaliana na hilo kwahyo serikali imerudisha tena bungeni hili wabunge waweze kuondoa hicho kipengele.
 
Back
Top Bottom