Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Sasa kujadiliwa upya bungeni, akiwasilisha bajeti ya Wizara ya kazi na ajila Bi Kabaka anesema kuwa kwa bunge ndilo lilipitisha sheria hiyo ndio hivyo hivyo litakazimika kuja kuifanyia marekebisho kwa hati ya dharura mwakani.
Tena wajadili na watoe majbu upesi, na waache kutikisa akili na maslahi ya watz waliojitolea nguvu zao kufanya kazi.
hivi haya mashirika ya mifuko ya hifadhi ya jamii vipi ? Eti fao la kujitoa halipo. Hivi wana akili kweli hawa? Mbona wanacheza na nguvu kazi za wau ???
hivi haya mashirika ya mifuko ya hifadhi ya jamii vipi ? Eti fao la kujitoa halipo. Hivi wana akili kweli hawa? Mbona wanacheza na nguvu kazi za wau ???
hivi haya mashirika ya mifuko ya hifadhi ya jamii vipi ? Eti fao la kujitoa halipo. Hivi wana akili kweli hawa? Mbona wanacheza na nguvu kazi za wau ???