Wizara ya Kilimo: Tanzania haijavamiwa na Nzige

Wizara ya Kilimo: Tanzania haijavamiwa na Nzige

beth, Tatizo sio uwepo je mmejiandaa vipi na hili janga manake hawa hawana hodi ni kuamka asubuhi na kuwaona hao kunatakiwa kuwepo na kitengo maalum kuzunguka hayo maeneo jirani kupigwe dawa kuzunguka wakifika tu wanaishia hukohuko hawa hawana salia mtume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
beth, Yeye anakanusha Wakati Mkuu wa Mkoa amethibitisha kuwa walionekana nzige huko moshi Jana, Mimi huwa siwaelewagi hawa Watu Juu Ya kukanusha kwao na wakikanusha utasikia wanaitaja mitandao ya kijamii kuwa inapotosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante wadau JF, hii sentensi itatajwa siku moja na mkuu akiwajibishwa mtu. Kweli hatuwezi shirikiana na jirani tena jumuia ya Afrika mashariki tunawasomi na viongozi wa ajabu sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Achilia mbali hilo. Juzi hapa zimeibiwa hela mamia ya mabillion ya korosho. Sasa mimi hiki kitu sikukielewa kwa sababu hela ilikuwa iantolewa kwa kufuata kilo za korosho za kila mkulima, Sasa hiyo hela iliibiwaje tena nyingi hivyo? Maana issue ilikuwa ni kwamba, kama hela ikiibiwa, basi ina maana kuna kilo za mkulima zitakosa malipo. Mimi sikuelewa kabisa hii hela iliibiwaje!
 
Wachini yupo kimya na he is very janjafull, hapo amekaa kimya ili mkubwa wake akisee kisha abutuliwe.
Kijana sio mtu wa kukaa kimya hasa kwenye issue nyeti kama hizi. Binafsi huu ukimya wake unanipa walakini sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani anajua vitabu vya mosses vinasema ukiona Nzige ujue kuna farao uchwara anaadhibiwa.
 
Mbona taarifa yake inapingana na kauli ya mkuu wa mkoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliotoa kauli jana akiwa TBC kuwa anasubiri nzige ziiniingie Kilimanjaro kupitia Ukambani!
Kwa hiyo Kenya ni legelege kuliko sisi hata wakashindwa kupambana nao.
Hivi EAC inafanya kazi gani? Hili tu tunasubiria mashirika ya kimataifa???? Really!!!
Itachukua miaka lukuki wafrika kujitegemea.
Sitoshangaa kusikia mpumbavu akiropoka, wawaite CHADEMA kuwasaidia
 
Ule utawaala wa m7 ni wapinga hela wanategeneza mazingira ya kupiga hela ndefu tu zinge bado wako Kenya lakini budget ya ma billioni ya shilling wa meshatenga

Sent using Jamii Forums mobile app
Rwanda wiki iliyopita Waziri wao wa kilimo alisema wanajiandaa vilivyo wakati huo hapa nyumbani mawaziri wetu husika walikuwa wanamlaani Zitto
 
Are you going to eat that?
I hadnt planned on it.
_110897260_11_ugnada_getty.jpg
 
Back
Top Bottom