Wizara ya Kilimo tusaidieni. Tuna tatizo jingine kubwa wakulima wa mahindi

Wizara ya Kilimo tusaidieni. Tuna tatizo jingine kubwa wakulima wa mahindi

Mathanzua

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
17,251
Reaction score
22,929
Tatizo kubwa sana wakulima tulilo kuwa nalo lilikuwa Fall Worms au Viwavi Jeshi Vamizi.Mwaka huu nimeona tatizo lingine kubwa,nadhani ni Fungal Disease. Kama ni Leaf Rust or Leaf Spots sijui,but we need help in terms of methods of control, both cultural and chemical.

Nime-attach picha,ili kama tuna watu wa kilimo humu JF waone na kulitafutia tatizo hili ufumbuzi mapema. Mwaka wa jana tatizo hili lilikuwepo,ila halikuwa kubwa kama mwaka huu.

Please help us.

IMG_20200429_140902.jpg
IMG_20200429_140754.jpg
IMG_20200429_140759.jpg
IMG_20200429_140706.jpg
IMG_20200429_140548.jpg
 
Mbona kama mahindi yameshakomaa ni baadhi ya majani yameanza kukauka.
 
Wataalam wa Kilimo Nchi hii hasa wale wa kwenye Kata na Vijiji wanapokea mishahara ya bure kabisa.

Hawatembelei wakulima kujionea changamoto kama hizo, yaani ni mwendo wa kuzurura huko Halmashauri tu.
 
Wataalam wa Kilimo Nchi hii hasa wale wa kwenye Kata na Vijiji wanapokea mishahara ya bure kabisa.

Hawatembelei wakulima kujionea changamoto kama hizo, yaani ni mwendo wa kuzurura huko Halmashauri tu.
Hiyo ndio tabia ya mkulima waTanzania. Kwanini usitafte namba umpigie huyo mtaalamu aje kukutembelea. Kijiji kimoja afisa kilimo 1 anaehudumia watu let say 3000 . Mbaya zaidi wakulima wenyewe wametanyika sn. Je huyo Afisa Kilimo ataota km unashida ili aje kwako? Mradi ni wako aafu unakaa kimya itakula kwako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataalam wa Kilimo Nchi hii hasa wale wa kwenye Kata na Vijiji wanapokea mishahara ya bure kabisa.

Hawatembelei wakulima kujionea changamoto kama hizo, yaani ni mwendo wa kuzurura huko Halmashauri tu.
Ishauri serikali yako iwape usafiri na mafuta kisha uje tena na hoja yako
 
Bado mkuu,hiyo rangi unayoiona ni kwa sabàbu ya ugonjwa,sio kwamba yamekomaa!Ears ni bado green.Infact hata yenye ear ndogo zaidi with silk,yamekuwa attacked.
mkuu hizo ni nutrients zimepungua kwenye Chlrophyll inayotengeneza chakula cha mmea, chakula chote kimekuwa directed kwenye mahindi.

Next time wakati mmea umefikia size hiyo fanya kupunguza matawi kiasi flani kisha bakiza machache ambayo inakuwa rahisi kuhudumiwa na mmea na kuwa na afya pia uzalishaji wa mahindi yenye Afya.
 
mkuu hizo ni nutrients zimepungua kwenye Chlrophyll inayotengeneza chakula cha mmea, chakula chote kimekuwa directed kwenye mahindi. Next time wakati mmea umefikia size hiyo fanya kupunguza matawi kiasi flani kisha bakiza machache ambayo inakuwa rahisi kuhudumiwa na mmea na kuwa na afya pia uzalishaji wa mahindi yenye Afya
Hapana,hii ni fungal problem mkuu.You are giving me a simple answer for a difficult problem.Mahindi mengine bado ni green yako kwenye silk stage yana tatizo hilo.So that cannot be the reason.
 
Wataalam wa Kilimo Nchi hii hasa wale wa kwenye Kata na Vijiji wanapokea mishahara ya bure kabisa.

Hawatembelei wakulima kujionea changamoto kama hizo, yaani ni mwendo wa kuzurura huko Halmashauri tu.
Yaani unatambua kabisa kwamba una tatizo shambani kwako lakini unasubiri KUTEMBELEWA na mtaalam ili akushauri, UNAPALILIA MATATIZO!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndio tabia ya mkulima waTanzania. Kwanini usitafte namba umpigie huyo mtaalamu aje kukutembelea. Kijiji kimoja afisa kilimo 1 anaehudumia watu let say 3000 . Mbaya zaidi wakulima wenyewe wametanyika sn. Je huyo Afisa Kilimo ataota km unashida ili aje kwako? Mradi ni wako aafu unakaa kimya itakula kwako!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wanastahili viboko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana,hii ni fungal problem mkuu.You are giving me a simple answer for a difficult problem.Mahindi mengine bado ni green yako kwenye silk stage yana tatizo hilo.So that cannot be the reason.
it worked for me, anyway labda huenda tatizo lako ni tofauti ila sidhani
 
mkuu hizo ni nutrients zimepungua kwenye Chlrophyll inayotengeneza chakula cha mmea, chakula chote kimekuwa directed kwenye mahindi. Next time wakati mmea umefikia size hiyo fanya kupunguza matawi kiasi flani kisha bakiza machache ambayo inakuwa rahisi kuhudumiwa na mmea na kuwa na afya pia uzalishaji wa mahindi yenye Afya
Large scale farmer, say 100 acres, anawezaje kutumia hii approach ya kukata matawi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo kubwa sana wakulima tulilo kuwa nalo lilikuwa Fall Worms au Viwavi Jeshi Vamizi.Mwaka huu nimeona tatizo lingine kubwa,nadhani ni Fungal Disease. Kama ni Leaf Rust or Leaf Spots sijui,but we need help in terms of methods of control, both cultural and chemical.

Nime-attach picha,ili kama tuna watu wa kilimo humu JF waone na kulitafutia tatizo hili ufumbuzi mapema. Mwaka wa jana tatizo hili lilikuwepo,ila halikuwa kubwa kama mwaka huu.

Please help us.

View attachment 1434437View attachment 1434439View attachment 1434440View attachment 1434441View attachment 1434442
Mkuu na Mimi yamenikuta,sijaelewa tatizo ni mbegu au nini,pia naona kama unaambukiza maana ilianza eneo moja hatimae shamba zima sawa,kama ulipata solution Nipe mrejesho.
 
Mkuu na Mimi yamenikuta,sijaelewa tatizo ni mbegu au nini,pia naona kama unaambukiza maana ilianza eneo moja hatimae shamba zima sawa,kama ulipata solution Nipe mrejesho
Sikupata msaada wowote mkuu kutoka kwa maafisa ugani au hata maafisa wetu wa utafiti.Ila kwa ufahamu wangu nilionao,"nadhani" hii ni leaf spot na ni kweli inaambukiza.Solution 'nadhani' ni application ya Copper Fungicides na tolerant /resistant varieties kama zipo.Nimesema "nadhani" kwa kuwa sina uthibitisho wa kutaalamu.Kuthibitisha inabidi kuchukuwa plant samples na kuzipeleka maabara na kuzifanyia foliar analysis.
 
Sikupata msaada wowote mkuu kutoka kwa maafisa ugani au hata maafisa wetu wa utafiti.Ila kwa ufahamu wangu nilionao,"nadhani" hii ni leaf spot na ni kweli inaambukiza.Solution 'nadhani' ni application ya Copper Fungicides na tolerant /resistant varieties kama zipo.Nimesema "nadhani" kwa kuwa sina uthibitisho wa kutaalamu.Kuthibitisha inabidi kuchukuwa plant samples na kuzipeleka maabara na kuzifanyia foliar analysis.
Sawa mkuu ,shida ilianza shamba Moja naona na kwa jirani hali sio poa tena,huu ugonjwa ni tishio kwa taifa
 
Ki
Sikupata msaada wowote mkuu kutoka kwa maafisa ugani au hata maafisa wetu wa utafiti.Ila kwa ufahamu wangu nilionao,"nadhani" hii ni leaf spot na ni kweli inaambukiza.Solution 'nadhani' ni application ya Copper Fungicides na tolerant /resistant varieties kama zipo.Nimesema "nadhani" kwa kuwa sina uthibitisho wa kutaalamu.Kuthibitisha inabidi kuchukuwa plant samples na kuzipeleka maabara na kuzifanyia foliar analysis.
naona ugonjwa unaitwa maeze lethal necrosis ,
 

Attachments

Back
Top Bottom