BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amezungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Machi 24, 2022:
“Tutashirikiana na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uzalishaji wa mbegu za mazao mbalimbali, ili kuhakikisha nchi inajitosheleza kwa uzalishaji wa mbegu bora.
“Lengo letu ni kumaliza tatizo la upatikanaji wa mbegu bora. Kwasasa mbegu huzalishwa na TARI kupitia Vituo 17 vya utafiti vya Wizara, na mashamba 13 ya Wakala (ASA), haya hayatoshi. Hivyo, Tunafanya ushirikiano huu kama jitihada ya kuziba upungufu wa mbegu za mazao muhimu.
“Tunafanya ushirikiano huu kama jitihada ya kuziba upungufu wa mbegu za mazao muhimu.”
Chanzo: Wizara ya Kilimo
“Tutashirikiana na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uzalishaji wa mbegu za mazao mbalimbali, ili kuhakikisha nchi inajitosheleza kwa uzalishaji wa mbegu bora.
“Lengo letu ni kumaliza tatizo la upatikanaji wa mbegu bora. Kwasasa mbegu huzalishwa na TARI kupitia Vituo 17 vya utafiti vya Wizara, na mashamba 13 ya Wakala (ASA), haya hayatoshi. Hivyo, Tunafanya ushirikiano huu kama jitihada ya kuziba upungufu wa mbegu za mazao muhimu.
“Tunafanya ushirikiano huu kama jitihada ya kuziba upungufu wa mbegu za mazao muhimu.”
Chanzo: Wizara ya Kilimo