Wasipigwe Marufuku, hao ndio wanaolipwa Kodi Kwa wingi na kuchangia pato la Taifa na la kwao .
Pesa wanayoipata inazunguka humuhumu Tanzania , tofauti na mabeberu wanalinda mazingira lkn Pesa yote inaenda Nje .
Jambo la Msingi, Waelimishwe juu ya matumizi sahihi ya Zebaki kwao wenyewe ,Kwa wananchi wanaowazunguka na namna ya kulinda mazingira.
Hoja yako ni sawa na BASHE kusema Mwashamba ya Miwa, yageuzwe kua ya mpunga, Sukari tuagize nje .