Hellow Tanganyika!
Uharibifu wa mazingira ni mkubwa Kanda ya Ziwa, Nia ni njema kuruhusu wachimbaji WADOGO, ila usimamizi wa karibu ni muhimu.
Serikali chini ya wizara ya madini itengeneze centers za kuchakata udongo na mawe yenye dhahabu mchimbaji mdogo alipie gharama.
Huu uholela wa wachimbaji WADOGO kuharibu vyazo vya maji Kwa kutiririsha zebaki kwenye vyanzo vya maji ni chanzo kikuu Cha magonjwa ya saratani yanayoongezeka Kwa Kasi Kanda ya Ziwa.
Najua Kuna bunge linaendelea, lichukueni hili, na hata msipolichukua, IPO siku litafanyiwa KAZI.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Uharibifu wa mazingira ni mkubwa Kanda ya Ziwa, Nia ni njema kuruhusu wachimbaji WADOGO, ila usimamizi wa karibu ni muhimu.
Serikali chini ya wizara ya madini itengeneze centers za kuchakata udongo na mawe yenye dhahabu mchimbaji mdogo alipie gharama.
Huu uholela wa wachimbaji WADOGO kuharibu vyazo vya maji Kwa kutiririsha zebaki kwenye vyanzo vya maji ni chanzo kikuu Cha magonjwa ya saratani yanayoongezeka Kwa Kasi Kanda ya Ziwa.
Najua Kuna bunge linaendelea, lichukueni hili, na hata msipolichukua, IPO siku litafanyiwa KAZI.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏