Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Hili jambo Linanikera sana mimi binafsi
Samatta amekuwa ndio kipenzi cha Serikali kwa wachezaji wanaopiga gozi nje ya nchi, anazungumzwa bungeni, anazungumzwa yeye peke yake ni Kama wanatengeneza picha kuwa ni yeye peke yake anayecheza huko ugaibuni wanasahau kuwa kwasasa wachezaji angalau wanaocheza nje ya nchi ni wengi tu sasa kumpongeza peke yake haifai
Najua kuwa samata anajitahidi kwa kiasi chake huko alipo lakini kuwekeza kwake peke yake sio picha nzuri
Jana nimemuona waziri mweye dhamana ya michezo akimpokea samata je ataenda kuwapokea na wengine?
Na waandishi wa habari walivyo sio watu wakujiongeza kila siku ubeligiji etiquette kwenda kumpongeza
Hili taifa letu nilaajabu ajabu hivi hadi nashindwa kuelewa
Kama mnatoa mailage kwa wachezaji wapeni heshima wote sio kuruka kuruka
Pale burundi kuna mchezaji anacheza uingereza ila huwezi kuona kelele Kama zinavyopigwa huku kwetu
Pale Kenya, Victor Wanyama anacheza uefa champions final lakini sioni wakenya wakipiga kelele km sisi
Uganda wanawachezaji huko ubeligiji lkn hawana kelele
Yaani sisi watanzania ni wakudeal na mambo madogo madogo tu
Mara wengine wanataka eti samata ajengewe sanamu maajabu haya!! Kwa lipi alilolifanya?
Serikali acheni kuendesha mambo kwa ushabiki wa mitandaoni.
Samatta amekuwa ndio kipenzi cha Serikali kwa wachezaji wanaopiga gozi nje ya nchi, anazungumzwa bungeni, anazungumzwa yeye peke yake ni Kama wanatengeneza picha kuwa ni yeye peke yake anayecheza huko ugaibuni wanasahau kuwa kwasasa wachezaji angalau wanaocheza nje ya nchi ni wengi tu sasa kumpongeza peke yake haifai
Najua kuwa samata anajitahidi kwa kiasi chake huko alipo lakini kuwekeza kwake peke yake sio picha nzuri
Jana nimemuona waziri mweye dhamana ya michezo akimpokea samata je ataenda kuwapokea na wengine?
Na waandishi wa habari walivyo sio watu wakujiongeza kila siku ubeligiji etiquette kwenda kumpongeza
Hili taifa letu nilaajabu ajabu hivi hadi nashindwa kuelewa
Kama mnatoa mailage kwa wachezaji wapeni heshima wote sio kuruka kuruka
Pale burundi kuna mchezaji anacheza uingereza ila huwezi kuona kelele Kama zinavyopigwa huku kwetu
Pale Kenya, Victor Wanyama anacheza uefa champions final lakini sioni wakenya wakipiga kelele km sisi
Uganda wanawachezaji huko ubeligiji lkn hawana kelele
Yaani sisi watanzania ni wakudeal na mambo madogo madogo tu
Mara wengine wanataka eti samata ajengewe sanamu maajabu haya!! Kwa lipi alilolifanya?
Serikali acheni kuendesha mambo kwa ushabiki wa mitandaoni.