Wizara ya michezo acheni kumkuza Samatta peke yake, mnawakatisha tamaa 'maprofesheno' wengine

Wizara ya michezo acheni kumkuza Samatta peke yake, mnawakatisha tamaa 'maprofesheno' wengine

Wakenya walishatuacha mbali Sana wana ma Pro kibao walioliletea sifa taifa
Kwa tz samata kwa kizazi hiki ni mmoja ya vijana wanapaswa kusifiwa kwa njia alinopita hata mwakinyo anakuja vzr
Mwanzo tumekua na Thabit Hashim
 
wanyama kabla ya tottenham alikuwa scotland.. katwaa sana mataji ya kigi ya kule ila wakenya hawana shobo.. na ligi ya scotland ni kubwa kuliko ya ubelgiji..

kaka yake mac donald mariga alitwaa champions league na inter milan ila wakenya hawana shobo..

dada yake wanyama amecheza basketball women basketball usa ila wakenya hawana shobo..
Ila wana shobo na Diamond wetu.. Mlima Kilimanjaroo wetuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi tofauti na samata ni mtanzania gani mwingine anayecheza ligi za ubeberuni?
 
Back
Top Bottom