Wizara ya michezo yavifungia Viwanja vya Uhuru na Mkapa

Wizara ya michezo yavifungia Viwanja vya Uhuru na Mkapa

Uongozi wa ngozi nyeusi..nilishasema ili tuonekane binadamu Duniani wazungu watawale kwenye nafasi ya urais na uwaziri..hizi ngozi nyeusi ni rubish zikalime shambani
 
Uongozi wa ngozi nyeusi..nilishasema ili tuonekane binadamu Duniani wazungu watawale kwenye nafasi ya urais na uwaziri..hizi ngozi nyeusi ni rubish zikalime shambani
Mkuu, ilifungwa Santiago Bernabeu msimu mzima sembuse Mkapa ?
 
Aisee hii nchi ngumu jaman,,,sasa viwanja vingine viko wap vya kutumika? Ngozi nyeusi ukiisifia ndo inaharibu kabisa. Karia kazingua.
 
Huu ufafanuzi umekaaje? Ni kwa mechi za ligi tu au hadi za Kimataifa? Manake huo wa Mkapa kwa ligi za ndani uliishafungiwa. Kama ni ndani na Kimataifa waende Rwanda ili Serikali ione wivu.
Thubutu! Atakaye fanya hivyo ajue mwisho wake umefika, hii nchi tuna viongozi wapuuzi mno
 
Hana ubavu wa kufunga iwanja
Huku yanga na Simba wakihitaji
Litakuwa pigo kubwa
Atauruhusu na kuonrkana shujaaa
Hizi siasa jamani
 
Mkapa si juzi tu ulikuwa kwenye matengenezo
 
Simba na Yanga watengeneze viwanja vyao sasa watafute sponsors huko watengenezewe wawe wanalipa kidogo kidogo .
 
Back
Top Bottom