Ekuweme
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 3,520
- 3,962
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mambo mengine ni kukomoana tuNaunga mkono hoja, twenzetu Rwanda ila tujiandae kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi.
ChamaaaaaziSasa Jwaneng' tunakuja kuwapigia wapi??
japo huwa ni pagumu kwetu, hakuna namna.Chamaaaaazi
Maboresho awamu ya pili ya uwanja ulitaka yasifanyikeDah, inasikitiaha sana. Siasa zimekuwa nyingi sana katk mpira.
Ni Mungu tu, Yuko upande wetu, ndio maana tunafanikiwa
Mkuu, ilifungwa Santiago Bernabeu msimu mzima sembuse Mkapa ?Uongozi wa ngozi nyeusi..nilishasema ili tuonekane binadamu Duniani wazungu watawale kwenye nafasi ya urais na uwaziri..hizi ngozi nyeusi ni rubish zikalime shambani
Wasifanye marekebisho!?Aisee hii nchi ngumu jaman,,,sasa viwanja vingine viko wap vya kutumika? Ngozi nyeusi ukiisifia ndo inaharibu kabisa. Karia kazingua.
Mbona barua inajieleza au ni kwa kuwa ulichorithi peke yake kutoka kwenu ni MALALAMIKO.Dah, inasikitiaha sana. Siasa zimekuwa nyingi sana katk mpira.
Ni Mungu tu, Yuko upande wetu, ndio maana tunafanikiwa
Thubutu! Atakaye fanya hivyo ajue mwisho wake umefika, hii nchi tuna viongozi wapuuzi mnoHuu ufafanuzi umekaaje? Ni kwa mechi za ligi tu au hadi za Kimataifa? Manake huo wa Mkapa kwa ligi za ndani uliishafungiwa. Kama ni ndani na Kimataifa waende Rwanda ili Serikali ione wivu.