Wizara ya Nishati imulikeni TANESCO vizuri

Wizara ya Nishati imulikeni TANESCO vizuri

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Waziri wa hii wizara sijui kama ana tambua kwamba bado wale wateja waliolipia 27k NC mpaka leo baadhi / wengi wao wana sumbuliwa kwa maana bado hawajawekewa huduma ya umeme ...

Awali ilisikika ya kuwa tareh 30 March w022 ndio ilikuwa mwisho kwa wateja hawa kuwekewa umeme ...lakini mpaka leo agizo hilo hali ni kama limetupiliwa mbali ktk dustbin

Hakika TANESCO ni sikio la.kufa
 
Waziri wa hii wizara sijui kama ana tambua kwamba bado wale wateja waliolipia 27k NC mpaka leo baadhi / wengi wao wana sumbuliwa kwa maana bado hawajawekewa huduma ya umeme ...

Awali ilisikika ya kuwa tareh 30 March w022 ndio ilikuwa mwisho kwa wateja hawa kuwekewa umeme ...lakini mpaka leo agizo hilo hali ni kama limetupiliwa mbali ktk dustbin

Hakika TANESCO ni sikio la.kufa
Ndugu mteja

Tafadhali tujulishe[emoji116]

Tatizo

Wilaya

Simu

Namba ya taarifa

Toka lini

Kwa hatua zaidi

Huduma kwa wateja

0748550000
 
Ndugu mteja

Tafadhali tujulishe[emoji116]

Tatizo

Wilaya

Simu

Namba ya taarifa

Toka lini

Kwa hatua zaidi

Huduma kwa wateja

0748550000
Kheri niangalie youtube kuliko kutuma huu upuuzi
 
Ndugu mteja

Tafadhali tujulishe[emoji116]

Tatizo

Wilaya

Simu

Namba ya taarifa

Toka lini

Kwa hatua zaidi

Huduma kwa wateja

0748550000
Kuna mtu alilipia kabis bado wanamtimia tn no ya malipo alipie tena
 
Ndugu mteja

Tafadhali tujulishe[emoji116]

Tatizo

Wilaya

Simu

Namba ya taarifa

Toka lini

Kwa hatua zaidi

Huduma kwa wateja

0748550000
Hata mkijulishwa akuna mnachokifanya.
 
Back
Top Bottom