Wizara ya Viwanda na Biashara ipo kwenye mchakato wa kuanzisha Wakala wa Shopping Malls Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara ipo kwenye mchakato wa kuanzisha Wakala wa Shopping Malls Tanzania

Umeniwekea ujenzi wa “infrastructures” ambazo ni kazi za serikali na ujenzi wa malls ambayo ni kazi ya private sekta mzee?

Kuna reason for that!

Kwamba muundo mbinu ni serikali na vitu vidogo vidogo ni private sekta!

Hueleweki mzee!
Nimekuuliza nini maana ya private sector MAAMUZI/HELA
 
Shopping mall na soko ni vitu viwili tofauti acha upumbavu mzee!

Soko hadi watu wanakunya mchana peupe!

Mall is modern well organized facility with sophisticated running procedures only private ownership can assure,govt can not!

Najua maana ya sekta binafsi,dont test my skills!
Private sekta yako imefeli 100% inaumiza watu
 
Mkuu

Barabara ni public utility infrastructure!

Infrastructure hujenga serikali!

Vitu ambavyo sio infrastructure/miundombinu wanajenga sekta binafsi na kuna reason for that!

Leo serikali inajenga maduka?

Man,they must be insane!

Wananchi wafanye nini sasa?
Kama mliman City

 
Watoto watukutu mnaoshindwa kuwa na society skills tujifunze kwenye movie hii siyo kazI kutengeneza KAZI

 
Back
Top Bottom