Biashara Za Mtandaoni zinatusaidia sana kupata vitu kwa bei rahisi sana Ila sasa Biashara hii imeingiliwa na Matapeli wengi. Sasa utamjuaje uyu ni tapeli.?
JINSI YA KUMJUA TAPELI WA MTANDAONI
1. Mabadiliko ya namba za simu za huduma kwa mteja.
Yaani kila ukiperuzi bidhaa utakuta baada ya muda fulani utakuta namba mpya.
2. Kwa mtandao wa Instagram kunakuwa na limit ya kucomment kwa maana huwezi kucomment bidhaa inayotangazwa
3. Kwenye Mtandaoni instagram huwezi kuona mtu anatangaza duka hilo,kwa mfano "karibu hapa duka fulani tunauza bidhaa fulani.
4. Hutakuta Lipa namba Matapeli wengi wanataka uwatumie kwenye namba zao za simu.
5 .Utakuta bidhaa imepigwa picha ila quality ya picha ni ndogo hii ni kwasababu wanadownload izo picha kwenye profile za instagram au facebook za watu wengine.
HiVYO VITU NIMEVIONA KWA MTU FULANI BAADA YA KUTAPELIWA
Ushauri Kwa serikali kama wameweza kuzuia picha za ngono x zisionekane Mtandaoni basi wazuie ili jambo kwa kwa kila mtu anayetaka kuweka bidhaa yake mtandaoni basi shariti ilo tangazo lipewe kibari TCRA.
Lengo Line za simu zisajiliwe kwa kutumia namba ya NIDA litimie.
JINSI YA KUMJUA TAPELI WA MTANDAONI
1. Mabadiliko ya namba za simu za huduma kwa mteja.
Yaani kila ukiperuzi bidhaa utakuta baada ya muda fulani utakuta namba mpya.
2. Kwa mtandao wa Instagram kunakuwa na limit ya kucomment kwa maana huwezi kucomment bidhaa inayotangazwa
3. Kwenye Mtandaoni instagram huwezi kuona mtu anatangaza duka hilo,kwa mfano "karibu hapa duka fulani tunauza bidhaa fulani.
4. Hutakuta Lipa namba Matapeli wengi wanataka uwatumie kwenye namba zao za simu.
5 .Utakuta bidhaa imepigwa picha ila quality ya picha ni ndogo hii ni kwasababu wanadownload izo picha kwenye profile za instagram au facebook za watu wengine.
HiVYO VITU NIMEVIONA KWA MTU FULANI BAADA YA KUTAPELIWA
Ushauri Kwa serikali kama wameweza kuzuia picha za ngono x zisionekane Mtandaoni basi wazuie ili jambo kwa kwa kila mtu anayetaka kuweka bidhaa yake mtandaoni basi shariti ilo tangazo lipewe kibari TCRA.
Lengo Line za simu zisajiliwe kwa kutumia namba ya NIDA litimie.