Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Mheshimiwa alipigiwa simu na wezi na kuambia simu yake ilikuwa inakaguliwa na asiizime kwa muda khalafu alipoizima akakuta hata namba haifanyi kazi. Alipokwenda vituo vya Airtel akaambiwa mpaka makao makuu Dar ndiyo wanaweza kuifungua. Alipoenda Dar na kuirekebisha akakuta milioni sita kwenye akaunti zimeibwa...................Be very careful na kuruhusu akaunti yako uweze kutoa hela kwa sim ya mkononi.................unawez\a ukajikuta umesafishwa kabisa......
Jisomee........
[h=1]Mbunge alizwa Sh6 milioni benki[/h]
Jisomee........
[h=1]Mbunge alizwa Sh6 milioni benki[/h]