fisadimpya
Senior Member
- Oct 27, 2011
- 191
- 103
Hii dhuluma kwa walimu zitaisha lini?kwa halmashaur ya wilaya babat afisa taaluma sekondari wilaya amelipwa 270,000/wakuu wa shule wanajiita kamat ya mitihan 240,000.waalimu waliosahisha kwa siku tatu wamelipwa elfu 20,000.
Wengi walitumia nauli hapo toa elf 6 kwa siku 3.waalimu waliotokea kituo hicho 10,000
Wengi walitumia nauli hapo toa elf 6 kwa siku 3.waalimu waliotokea kituo hicho 10,000