SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Kuna hili jambo limekuwa linanitatiza kwa muda mrefu.
Mimi siyo mtumaji sana wa SMS, unakuta napata SMS 100 au zaidi katika bando la mwezi. Unashangaa mwezi haujafika wananiambia SMS zangu zimeisha wakaki najua kabisa sijatuma idadi hiyo ya SMS ndani ya muda huo.
Njia pekee ya kufikisha idadi higo ya SMS ni kama wahesabu na zile SMS zilizoingia katika simu yangu.
Swali ni je, ni sahihi kuhesabu SMS zilizoingia kama sehemu ya bando alilolipia mtu? Hii ina tofauti gani na kumkata mtu dakika kwa muda ambao amepigiwa yeye simu?
Mimi siyo mtumaji sana wa SMS, unakuta napata SMS 100 au zaidi katika bando la mwezi. Unashangaa mwezi haujafika wananiambia SMS zangu zimeisha wakaki najua kabisa sijatuma idadi hiyo ya SMS ndani ya muda huo.
Njia pekee ya kufikisha idadi higo ya SMS ni kama wahesabu na zile SMS zilizoingia katika simu yangu.
Swali ni je, ni sahihi kuhesabu SMS zilizoingia kama sehemu ya bando alilolipia mtu? Hii ina tofauti gani na kumkata mtu dakika kwa muda ambao amepigiwa yeye simu?