Wizi unaendelea kutawala serikalini?

Tena n mijizi sugu kweli kweli!! Si wanaona kizimkazi mwenyewe hayupo Yuko majuu anapiga misele tu uko.


KAZI ni kipimo cha UTU
 
Wadau milioni 50 kwenye zimetafunwa na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba mkoani Kagera na serikali Ipo kimya.

Ona kibanda hiki hata mil 4 hazifiki.
Ccm na ufisadi ni kama samaki na maji
 
Mkuu unataka watumishi wa umma tuendeshe vipi magari na kujanhe majumba na kuhonga totoz bila mishe kama hizi,ukiona mkia unanuka jua kichwa kimeoza
 
Duu km n dhambi bac hii Haina haja yakudhibitishwa kuwa waliojenga hapo hawajatenda haki Kwa wananchi .
 
Waliofanya hii kitu inatakiwa wawe nyuma ya nondo bila hata maswali mengi. Haina haja ya kupoteza tena fedha kufanya uchunguzi. Milioni 50 ziko wapi hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…