Wizi unaofanika kwene daladala makondakta hawawatambui kwa wakati au ndo Lao moja?

Wizi unaofanika kwene daladala makondakta hawawatambui kwa wakati au ndo Lao moja?

Wapo makonda wema wanawatangazia mapema abiria chunga mzigo wako,Kwa kifupi wnawajua.
Kituko kinakuja pale unapoibiwa na kulazimisha gari liende kituo Cha polisi,abiria mtatengwa makundi matatu,kundi la akina mama,kundi la akina baba ambao mwonekano wao hawawezi iba,kundi la vijana ambao mwonekano wao haijulikani walioga lini.
Kundi la akina mama na Hawa wazee litaruhusiwa waondoke,kosa la kiufundi Hawa wazee Ndo wezi.
 
Abiria chunga mzigoo wako


Sasa wewe endelea kusinzia tu
#SUBIRINI MUONE 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kuna mmoja nilimshtukia anazamisha mkono kwenye mfuko wa suruali yangu nikawakiana nae lakini cha ajabu Konda yupo kimya kama hasikii wakati nilitegemea angelifokea na kulishusha njiani lakini yeye yupo buzy. Me nahisi hii ni moja ya miladi yao makonda na madereva.
 
Wapo makonda wema wanawatangazia mapema abiria chunga mzigo wako,Kwa kifupi wnawajua.
Kituko kinakuja pale unapoibiwa na kulazimisha gari liende kituo Cha polisi,abiria mtatengwa makundi matatu,kundi la akina mama,kundi la akina baba ambao mwonekano wao hawawezi iba,kundi la vijana ambao mwonekano wao haijulikani walioga lini.
Kundi la akina mama na Hawa wazee litaruhusiwa waondoke,kosa la kiufundi Hawa wazee Ndo wezi.
🤣🤣
 
Kuna mmoja nilimshtukia anazamisha mkono kwenye mfuko wa suruali yangu nikawakiana nae lakini cha ajabu Konda yupo kimya kama hasikii wakati nilitegemea angelifokea na kulishusha njiani lakini yeye yupo buzy. Me nahisi hii ni moja ya miladi yao makonda na madereva.
Sure, Hawa watu wanajuana Alafu wanajifanya kama hawapo sasa na sisi tutaanza na kuwashushia kipigo makonda then ndo maswali yatafuata
 
Back
Top Bottom