Wizi-vodafone m-pesa ubungo plaza

yaani 11,000 tu inakutoa roho, mbona mimi nimeibiwa BLACKBERRY 2 na mademu wa club na wala huwezi kusikia eti nimelalamika kwa mtu. Acha hisia za kimaskini wewe.
 
ulifanya makosa ungepiga Vodacom ukaomba wakupe statement yako ya Mpesa, na ungegundua namba ya mwisho kupokea MPesa kutoka kwako ni ipi , na hapo ndo ungerudi sasa pale kwa kishondo, Yn panachimbika hujawahi ona. pole. Togo kuna dada aliwahi kuniibia vocha ,niliichuna vibaya sasa nikaomba msaada akasema ataniwekea then akajiwekea yeye, lol!! achana na namba hii bwana, alikiona cha mtema kuni na kazi akafukuzwa kisa elf 2.
 
Mkuu una hakika na hiyo nyekundu hapo?
 

hahaa kweli we mkali, sikuwa na muda wa kufuatilia lakini next time akiniibia hata sh mia patachimbika
 
yaani 11,000 tu inakutoa roho, mbona mimi nimeibiwa BLACKBERRY 2 na mademu wa club na wala huwezi kusikia eti nimelalamika kwa mtu. Acha hisia za kimaskini wewe.

ni ndogo sana hiyo kwangu mkuu, lakini ni tabia mbovu mtu anapoichukua bila ridhaa yako
we unaleta misifa ya kijinga hapa ya kuibiwa BB club na mademu ili tukusaidiaje?
JF mtu anapimwa kwa fikra na mawazo yake sio kwa usharobaro kama wako!
 
[uwizi huo umetaka mwenyewe,m pesa anatakiwa abandike number yake ya uwakala ,wewe unasoma ahalafu aunamaliza mambo yote mwenyewe,sivyo utaibiwa sana lkn ple ndio kuwa mjanja mjini
 
yaani 11,000 tu inakutoa roho, mbona mimi nimeibiwa blackberry 2 na mademu wa club na wala huwezi kusikia eti nimelalamika kwa mtu. Acha hisia za kimaskini wewe.

huyu akapate kikombe kwa mwasapile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…