Wizi-vodafone m-pesa ubungo plaza

Wizi-vodafone m-pesa ubungo plaza

yaani 11,000 tu inakutoa roho, mbona mimi nimeibiwa BLACKBERRY 2 na mademu wa club na wala huwezi kusikia eti nimelalamika kwa mtu. Acha hisia za kimaskini wewe.
 
ulifanya makosa ungepiga Vodacom ukaomba wakupe statement yako ya Mpesa, na ungegundua namba ya mwisho kupokea MPesa kutoka kwako ni ipi , na hapo ndo ungerudi sasa pale kwa kishondo, Yn panachimbika hujawahi ona. pole. Togo kuna dada aliwahi kuniibia vocha ,niliichuna vibaya sasa nikaomba msaada akasema ataniwekea then akajiwekea yeye, lol!! achana na namba hii bwana, alikiona cha mtema kuni na kazi akafukuzwa kisa elf 2.
 
nadhani kutopata alert inaweza kuwa ni kosa lao.ila kuna mjumbe mmoja hapo juu kasema kuna wizi unaoweza tokana na mitambo.nadhani hapo napo ni muhimu.sio voda tu karibu kila kampuni sasa hivi wizi wanaufanya tena watu wanatajirika mno. (japo sina ushahidi)mfano wale ma programmer waki amua kucheza html code wakaiba tsh 100 ambayo mtu hutokuwa na uchungu kama ambavyo ulivyo fanya wewe pale ubungo. 100 kwa watu 1mil.sawa na 100ml ambazo wakiamua muda wowote wanazipata.
Mkuu una hakika na hiyo nyekundu hapo?
 
ulifanya makosa ungepiga Vodacom ukaomba wakupe statement yako ya Mpesa, na ungegundua namba ya mwisho kupokea MPesa kutoka kwako ni ipi , na hapo ndo ungerudi sasa pale kwa kishondo, Yn panachimbika hujawahi ona. pole. Togo kuna dada aliwahi kuniibia vocha ,niliichuna vibaya sasa nikaomba msaada akasema ataniwekea then akajiwekea yeye, lol!! achana na namba hii bwana, alikiona cha mtema kuni na kazi akafukuzwa kisa elf 2.

hahaa kweli we mkali, sikuwa na muda wa kufuatilia lakini next time akiniibia hata sh mia patachimbika
 
yaani 11,000 tu inakutoa roho, mbona mimi nimeibiwa BLACKBERRY 2 na mademu wa club na wala huwezi kusikia eti nimelalamika kwa mtu. Acha hisia za kimaskini wewe.

ni ndogo sana hiyo kwangu mkuu, lakini ni tabia mbovu mtu anapoichukua bila ridhaa yako
we unaleta misifa ya kijinga hapa ya kuibiwa BB club na mademu ili tukusaidiaje?
JF mtu anapimwa kwa fikra na mawazo yake sio kwa usharobaro kama wako!
 
[uwizi huo umetaka mwenyewe,m pesa anatakiwa abandike number yake ya uwakala ,wewe unasoma ahalafu aunamaliza mambo yote mwenyewe,sivyo utaibiwa sana lkn ple ndio kuwa mjanja mjini
 
yaani 11,000 tu inakutoa roho, mbona mimi nimeibiwa blackberry 2 na mademu wa club na wala huwezi kusikia eti nimelalamika kwa mtu. Acha hisia za kimaskini wewe.

huyu akapate kikombe kwa mwasapile!
 
Back
Top Bottom