Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Kwa mtu anayejua muziki vizuri, akiangalia kesi kadhaa amazo zimetokea huko Youtube kwa madai ya kuibiwa biti, akaweza kukubaliana nami kuwa kesi hizo zote ni frivolous na zinatakiwa kuwa zinatupiliwa nje. Sababu kuwa ni kuwa biti zote za muziki zina msingi wa aina moja. Ndiyo maana ingekuwa ni vigumu sana kwa Bob Marley kudai kuwa UB 40 au Lucky Dube walikuwa wakiiba biti zake.
Kufanana kwa mdundo na mkong'osio wa muziki haina maana ya kuibiwa biti, vitu ambavyo mtu anaweza kulalamikia kwenye muzki ni vitu vitatu tu: mashairi (lyrics), melody, na video. Kama kuna mdundo fulani wa vyombo unaoonekana kufanana lakini melody ya muziki wenyewe havifanani, hiyo siyo copyright infringement hata siku moja.
Ingawa copyrights zinaruhuru parts zote za muziki kuwa protected, ila nature ya composition ya muziki inasababisha mambo mengi ambayo watu wanadai kuibiwa biti yasiwe na maana. Kwa mfano kama mtunzi mmoja ametumia scale ya C, halafu akatumia mdundo wa 4/4, kwa tempo ya 120, na pigo lake kuu likawa ni lile la tatu, halafu yale mengine yakawa na ufahifu kama kwenye mjuziki wako huwezi kusema kakuibia biti.
Hiyo ni standard kabisa.
Kufanana kwa mdundo na mkong'osio wa muziki haina maana ya kuibiwa biti, vitu ambavyo mtu anaweza kulalamikia kwenye muzki ni vitu vitatu tu: mashairi (lyrics), melody, na video. Kama kuna mdundo fulani wa vyombo unaoonekana kufanana lakini melody ya muziki wenyewe havifanani, hiyo siyo copyright infringement hata siku moja.
Ingawa copyrights zinaruhuru parts zote za muziki kuwa protected, ila nature ya composition ya muziki inasababisha mambo mengi ambayo watu wanadai kuibiwa biti yasiwe na maana. Kwa mfano kama mtunzi mmoja ametumia scale ya C, halafu akatumia mdundo wa 4/4, kwa tempo ya 120, na pigo lake kuu likawa ni lile la tatu, halafu yale mengine yakawa na ufahifu kama kwenye mjuziki wako huwezi kusema kakuibia biti.
Hiyo ni standard kabisa.