Juzi nimepeleka mgonjwa wangu hospital nilifika kwa Dr. Nikamweleza kinachomsumbua mgonjwa nikaandikiwa dawa kwenda dirishani dawa hakuna. Miongoni mwao kuna muuguzi anaduka la dawa akaniambia hizo dawa ninazo njoo nyumbani badae nilivyoenda kweli dawa nilipata ila niliuziwa dawa zenye nembo ya bohari kuu ya dawa MSD si Mara ya kwanza siku ya kwanza aliniuzia ORS ikiwa na MSD.
NAOMBA USHAURI WENU KAMA NIKUMPELEKA KWA UMMY MWALIMU OR KWA SIZONJE
Hapa kazi tu maadamu mkono uende kinywaniJuzi nimepeleka mgonjwa wangu hospital nilifika kwa Dr. Nikamweleza kinachomsumbua mgonjwa nikaandikiwa dawa kwenda dirishani dawa hakuna. Miongoni mwao kuna muuguzi anaduka la dawa akaniambia hizo dawa ninazo njoo nyumbani badae nilivyoenda kweli dawa nilipata ila niliuziwa dawa zenye nembo ya bohari kuu ya dawa MSD si Mara ya kwanza siku ya kwanza aliniuzia ORS ikiwa na MSD.
NAOMBA USHAURI WENU KAMA NIKUMPELEKA KWA UMMY MWALIMU OR KWA SIZONJE
Acha kumwambia mwenzako maneno ambayo kiuhalisia akiyafuata atafanya watu waendelee kupata madhara ambayo nimakubwa zaidi,huoni mwananchi huyo asiporipoti kuna mwingine atafika na atakosa dawa kumbe zimeibiwa zimehifadhiwa kwenye nyumba za wauguzi,waganga pamoja na madaktari?Mwenzako huyo hapo kapeleka mashitaka katumbuliwa yeye...we umeshanunua dawa meza upone uendelee kutafuta kodi ya watu viwanda vijengwe
Kwa hiyo kwa kuonesha tu hilo kopo ndo umemtia hatiani? Je,kama ulipata kwingineko huko? Hizo ni dawa ambazo kila mhudumu wa famasi lazima huchukua kwa ajili ya familia yake kwa emergence. Huwezi kumtia hatiana kwa dizaini hiyo.
Wacha umbea na majungu ya mitandaoni. Mwache nesi apige kazi. Huyo sio mtumishi asiye mwaminifu, ni KATUMISHI KASIKO KAAMINIFUNenda karipoti kwaajili ya kumsaidia huyo mtumishi kuacha hiyo tabia,vilevile utakua umesaidi wagonjwa ambao hulipa kodi kama wewe nakutegemea hizo kodi kununua dawa ambazo zinakosekana katika vituo vya afya.Ukimripoti utakua umefanya jambo kubwa sana kwani kunawenzalo wengine wamekufa kwakukosekana dawa ambazo maranyingi zinakua zomeibiwa nawatumishi wasio waaminifu.
My friend, signature yako inasemaje?Acha kumwambia mwenzako maneno ambayo kiuhalisia akiyafuata atafanya watu waendelee kupata madhara ambayo nimakubwa zaidi,huoni mwananchi huyo asiporipoti kuna mwingine atafika na atakosa dawa kumbe zimeibiwa zimehifadhiwa kwenye nyumba za wauguzi,waganga pamoja na madaktari?
Wauguzi wanaroho mbaya sanaAcha kumwambia mwenzako maneno ambayo kiuhalisia akiyafuata atafanya watu waendelee kupata madhara ambayo nimakubwa zaidi,huoni mwananchi huyo asiporipoti kuna mwingine atafika na atakosa dawa kumbe zimeibiwa zimehifadhiwa kwenye nyumba za wauguzi,waganga pamoja na madaktari?
Kama ni current peleka sasa hizo leaflet mahakamaniWewe ndio wa zamani ila mimi ni current
Nianzie wapi?Nenda karipoti kwaajili ya kumsaidia huyo mtumishi kuacha hiyo tabia,vilevile utakua umesaidi wagonjwa ambao hulipa kodi kama wewe nakutegemea hizo kodi kununua dawa ambazo zinakosekana katika vituo vya afya.Ukimripoti utakua umefanya jambo kubwa sana kwani kunawenzalo wengine wamekufa kwakukosekana dawa ambazo maranyingi zinakua zomeibiwa nawatumishi wasio waaminifu.