Kijana ni tetesi lakini kuna maswali ya kuuliza
1. Hivi chama gani cha siasa ambacho hakijui/hakikujua kwa NEC ni ya CCM? maana liko wazi kabisa!
2. Je nini matarajio ya vyama hivi baada ya uchaguzi, mathalan akishinda SLAA na NEC ikatangaza mshindi ni JK, what they will do? sheria inasemaje? NEC akisema fulani mshindi is final isnt it?
3 Je ukiingia kwenye ushindani hali ukijua utashindwa tu, kwa sababu ya mambo kama haya ya NEC, dwa yake ni nini?
Athari
1. Kutoamini NEC ni kuendeleza hizi tetesi huoni kunapoteza muda wa campaign, kama vyama vya siasa in the last 5 yrs vingepigania angalau tume ya uchaguzi iwe huru, walifanya hivyo? kwa nini?
2. Hali tete nchini, tetesi hizi zinaweza kuvuruga amani, je inasaidia nini tukipigana nchi hii kisa tetesi
Haya yote washindani(vyama vilitakiwa kujiandaa mapema), bila hivyo vinakuwa subjected kwenye group la blind na wanaosubiri matokeo kwa bahati bahati tu.I am sorry huko kwenye kundi hilohilo. Tulipopiga kelele kuwa vijiandae mapema kwenye mabadiliko ya NEC na katiba wakasema( tena slaa alisema kabisa ni ngumu sana) aliposema hivyo tu ni-ka-conclude hatuna wapinzani nchini,SLAA is not the one, ikiwa mambo ya msingi hayafanywi kwanza basi wote ni walewale,nchi imeuzwa hii kwa uangalifu mkubwa mno.
pole sana hizi tetesi si tetesi, ni hali halisi maana wapinzani watayakubalimatokeo na watamkubatia JK kwa ushindi, tupo, jipe moyo baada ya uchaguzi you will surely confirm my words, HATUNA WAPINZANIA HAWA WOTE NI MAGARASHA TU
Cheers!!!