Wizi wa mafuta ya gari ktk petrol station

Wizi wa mafuta ya gari ktk petrol station

Nashukuru kwa taarifa mkuu. Pia chukueni tahadhari na kituo cha mafuta kilichopo Mbezi mwisho Morogoro road. Ni wezi balaa,anayetaka ushahidi awaulize ma driver
driver tax wa pale Mbezi mwisho ambao wako kama mita 100 lakini hawajazi pale. Kuna mhudumu mmoja ana kipara muda wote na mwingine kama mmasai ni wezi balaa. Ndio wanawaongoza wenzao kwa wizi oale wakiwamo wanawake. Ukiwa unawekewa mafuta,ukibaki kwenye gari umeumia. Walishaniibia mara nyingi ndio maana nimetoa ushuhusa huu kwa uchungu!
 
Mimi nilishasign out kwa hivi vituo vya mafuta vya camel na hawa oilcom ni wezi wazuri sana

Mkuu, kituo cha Oilcom Tabata karibu na CCM kuna kijana mmoja wa Kiarabu mwenye kilema cha mguu, huyo ni komesha nikumkuta yuko kwenye pampu naodoka zangu; watu wengi wanalalamika sana kuhusu tabia yake hiyo!
 
Mimi sidhani kama ni kweli !
Kuna wakati unapochelewa kuweka mafuta yanatumika mafuta ya reserve, hivyo ukija kuweka taa ya mufuta yaweza kuzima kwa muda mfupi, au isizime kabisa.
Otherwise binafsi huwa nawaamini sana Camel, na pia kwa aina ya mashine za mafuta ni ngumu kwa wafanyakazi kuiba.
Itakuwa ulichelewa sana kuweka mafuta hivyo taa ikazima kwa muda mfupi !
.......samahani lakini !
 
Nashukuru kwa taarifa mkuu. Pia chukueni tahadhari na kituo cha mafuta kilichopo Mbezi mwisho Morogoro road. Ni wezi balaa,anayetaka ushahidi awaulize ma sriver tax wa pale Mbezi mwisho ambao waoo kama mita 100 lakini hawajazi pale. Kuna mhudumu mmoja ana kipara muda wote na mwingine kama mmasai ni wezi balaa. Ndio wanawaongoza wenzao kwa wizi oale wakiwamo wanawake. Ukiwa unawekewa mafuta,ukibaki kwenye gari umeumia. Walishaniibia mara nyingi ndio maana nimetoa ushuhusa huu kwa uchungu!

Vituo hivyo vya wizi wa mafuta vinajulikana, kama hakuna mafuta katika vituo ninavyo amini basi nina kawaida ya kubeba magaroni na kwenda kwenye vituo vyenye tabia ya wizi, nikifika hapo nawambia wajaze kwenye magaroni hapo wanakuwa hawana jinsi ya kufanya ujanja, naondoa gari nje kidogo ya kituo alafu najaza mwenyewe - lakini nahakikisha wakati najaza wahudumu wa kituo na wateja wengine wanaona ninacho kifanya - mkuu hiyo inakuwa ni kama message sent kwa wahudumu wenyewe na tahadhali kwa wateja!!
 
Hivi huwa wanafanyaje huo wizi wao! Da huenda hata mimi wameshaniliza katika gari yangu.
 
teh teh jamaa linaitwa li MKULAMAVI yaani linakula nyesi !!!!
 
Hivi hakuna mbinu ya kuwakamata hawa jamaa?
 
Hivi huwa wanafanyaje huo wizi wao! Da huenda hata mimi wameshaniliza katika gari yangu.
Hapohapo Sanene wanachofanya ni anapotoka mtu aliyekutangulia wanakuwa kama wanarejesha ile pampu sehemu yake lakini zile namba za mtu aliyepita zinakuwa hazijafutika so kama mtu alopita kaweka mafuta ya 5,000, wewe utaanza wekewa mafuta kuanzia hapo. ukinunua mafuta ya 10,000 utakuwa umepata ya 5,000. Mchezo huu haswa hufanya pindi itokapo jazwa pikipiki. utaunganishiwa juu kwa juu. Nilizubaa siku moja nikaanzishiwa kwenye 5,000. Leo nimefika asubuhi alitaka kuniunganishia kwenye 3,000 ilipotoka bodaboda nikamtolea macho kwenye mashine mpaka anarejesgha ile pump ilikuwa inasomeka 3,000. Alipoona namtolea macho akaanzisha kwenye 00:00. So be careful na hapo Saanene kituo kipya.
 
Kumbe ndivyo wanavyofanya! Kuanzia sasa nitawakodolea macho vibaya. LABDA KAMA WANA MBINU NYINGINE
 
Kwataarifa tu hata pale shell iliyo karibu namlimani city uwe makini mno!!Tena alietaka kunijeruhi nimwanamke akaona nimestuka akajidai hakuangalia mashine vizuri.
ilikuwaje kiongozi tuambiane a b c's zote!!!
 
Mimi pia wameniibia sana na nimewafuma mara mbili hao wa Mbezi Mwisho lakini unapowabana wanakataa kata kata mpaka wanataka kulia. Ni wezi waliokubuhu, kama ni malaya basi ni machangudoa!
 
Mimi sidhani kama ni kweli !
Kuna wakati unapochelewa kuweka mafuta yanatumika mafuta ya reserve, hivyo ukija kuweka taa ya mufuta yaweza kuzima kwa muda mfupi, au isizime kabisa.
Otherwise binafsi huwa nawaamini sana Camel, na pia kwa aina ya mashine za mafuta ni ngumu kwa wafanyakazi kuiba.
Itakuwa ulichelewa sana kuweka mafuta hivyo taa ikazima kwa muda mfupi !
.......samahani lakini !

Wewe mgeni wa magari sana wewe!
Watu wanaibiwa unaongea mambo gani hayo, ndio umetoka veta nini unajifanya kuongea theories hapa!
 
Kwataarifa tu hata pale shell iliyo karibu namlimani city uwe makini mno!!Tena alietaka kunijeruhi nimwanamke akaona nimestuka akajidai hakuangalia mashine vizuri.
Kama ni Total itakua ni noma nilishawahi weka lita 10 hivi kufika ilala kitaa kinawaka tu..!!
 
Puma sina uhakika nao sana ila TOTAL ni 100% mafuta safi na kiwango sahihi kabisa na hela yako uliyolipia. (Value for money). Jamaa wako vizuri sana na wanaendelea kutoa huduma bora. Hizi petrol station nyingine ukitaka kuwa mjanja nenda na dumu lako la lita 20 au 5. Full stop. Akichakachua si lazima uone bhana. Lita 5 haziwezi kuwa 4 hata siku moja na 20 haziwezi kuwa 15. Never. Wakimwaga mboga we mwaga ugali. Kushney
 
Pole mkuu!!Siku hizi naona kama wamebadilika kidogo!!Wa aibu sijui wanapita humu Jf!!
 
Back
Top Bottom