Wizi wa makontena waamia kenya ''KRA impounds 68 containers, probe on graft syndicate intensified

Wizi wa makontena waamia kenya ''KRA impounds 68 containers, probe on graft syndicate intensified

Waafrika bhana IQ ndogo sana, sasa unatetea nini? Badala ya kukubali kwamba kuna tatizo unaanza kulinganisha corruption ipi ni zaidi ya nyingine?!
we hata unajielew kweli. kuna tofauti kubwa sana kati ya
Waafrika bhana IQ ndogo sana, sasa unatetea nini? Badala ya kukubali kwamba kuna tatizo unaanza kulinganisha corruption ipi ni zaidi ya nyingine?!

Hehe, kama shida ya Afrika ni IQ ndogo, basi mfano mzuri utakua ni wewe! umeona nikitetea hapo? mimi nemejaribu tu kuelezea shida ni nini haswa, ukisema wizi wa makontena, hio inaeza maanisha makontena ya watu yanaibiwa na watu wengine ambayo si ukweli. hapa shida ni kwamba watu wanatumia njia za uongo kupitisha kontena zao, hio ni kitu tofati kabisa.....

tatizo la waafrika ni watu kama nyinyi, wale wanaojifanya wako na jibu la kila swali la dunia, wanajua kila kitu... kabla utatue jambo lazma ujue shida nini haswa (definition of the problem) ukimaliza ndo unatafuta suluhisho, usianze kutoa suluhisho kabla hujajua shida ni ghani, sasa umekazana nikubali shida wakati watu hawajaelewa shida ni ipi haswa.... nkt
 
we hata unajielew kweli. kuna tofauti kubwa sana kati ya

Hehe, kama shida ya Afrika ni IQ ndogo, basi mfano mzuri utakua ni wewe! umeona nikitetea hapo? mimi nemejaribu tu kuelezea shida ni nini haswa, ukisema wizi wa makontena, hio inaeza maanisha makontena ya watu yanaibiwa na watu wengine ambayo si ukweli. hapa shida ni kwamba watu wanatumia njia za uongo kupitisha kontena zao, hio ni kitu tofati kabisa.....

tatizo la waafrika ni watu kama nyinyi, wale wanaojifanya wako na jibu la kila swali la dunia, wanajua kila kitu... kabla utatue jambo lazma ujue shida nini haswa (definition of the problem) ukimaliza ndo unatafuta suluhisho, usianze kutoa suluhisho kabla hujajua shida ni ghani, sasa umekazana nikubali shida wakati watu hawajaelewa shida ni ipi haswa.... nkt

Hehehe!! Huyo hata umwambie nini utachoka mwenyewe, yaani jamaa sijui ndio kabisa Mtanzania wa enzi za Nyerere ambaye hata useme nini au umweleweshe vipi habadiliki wala kukuelewi. Atabisha hadi kuzimu, kada la CCM damu.
Kuna mada fulani ametetea uamuzi wa Magufuli kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake, yaani jamaa shughuli...hahahaha!
 
Wacha wakae hukohuko
Maana waliona mizigo ikiongezeka wakashangiria kutafuta sifa.
Heri tuwe na meli 10 kwa mwaka zilipe kodi stahili
 
Wacha wakae hukohuko
Maana waliona mizigo ikiongezeka wakashangiria kutafuta sifa.
Heri tuwe na meli 10 kwa mwaka zilipe kodi stahili
nyinyi mliambiwa mkifanya vile mombasa inafanya kwa mizigo ile ile yenu mnayopitisha mtajiongezea $1 billion kwa uchumi wenu... vuteni kamba kwa nguvu
 
Back
Top Bottom